Kama unaweza njoo nikupe shule ya marketing uelewa wako product unachukua bure unarudisha demarch jioni watu wanapiga hela hadi 20000 kwa siku nyumba getho langu utakaa bure ila inabidi uwe mvumilivu uyakacho takiwa kuaanda ni barua ya Mtendaji na hela ya kujazia fomu 15000 na wadhamini watatu na Namba zao za Simu KARIBU sio lazima ni ushauri tu
Wazo lako ni zuri ila picha za ID yako Mhhhhh........anza biasharara ya kuchoma mahindi au mafufu. ukipata site nzuri utapiga hela, hasa mafufu.
Ivi unacheka nini hasaHahahahahahahahahhhahahhhahahahahahhaah.
Ndio utajua utofauti wetu na waoIvi unacheka nini hasa
HaswaaaNdio utajua utofauti wetu na wao
Yaan Tanzania yavbi wonder hiiHaswaaa
haaaaaaaaaaaaaa????????Kama unaweza njoo nikupe shule ya marketing uelewa wako product unachukua bure unarudisha demarch jioni watu wanapiga hela hadi 20000 kwa siku nyumba getho langu utakaa bure ila inabidi uwe mvumilivu uyakacho takiwa kuaanda ni barua ya Mtendaji na hela ya kujazia fomu 15000 na wadhamini watatu na Namba zao za Simu KARIBU sio lazima ni ushauri tu
Dah kuna mda unaweza nyamaza sio kila post uonekaneMkuu njoo tubeti nakuhakikishia utapiga pesa ndefu kwa muda mfupi
Kweli mkuu. Tupambaneusicheke mkuu...maisha magumu
Atalimia angani?Uza karanga zinalipa.
Ila pia unaweza lima bange
hata muonekano wako makonda alikusahau tuUza karanga zinalipa.
Ila pia unaweza lima bange
Tafuta ungo uanze na biashara ya njugu kwa lugha nyingine karanga