Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
VitumbuaHabari wakuu
Mimi Ni Mama wa nyumbani mkazi was uswahilini huku asilimia kubwa wakazi wa huku Wana vipato vya chini
Sasa Mimi Nina elfu 50 natak kufanya huku kwetu naomba mnisaidie ushauri
Ni biashara gn itafaa kutokana na mazingira niliyopo?!
Maandazi
Ice cream ( kama una Jokofu )
Chipsi ( Nunua viazi tu, kaanga tu kwenye sufulia - funga za fungu 500 )