Nina 40000 nataka king'amuzi cha startimes -used

Nina 40000 nataka king'amuzi cha startimes -used

CEYLON

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
314
Reaction score
151
habari wana jf
Niko Boko-Dar,nahitaji kin'gamuzi cha startimes,aliyenacho ani PM
 
habari wana jf
Niko Boko-Dar,nahitaji king'amuzi cha startimes,aliyenacho ani PM
 
Kaninulie Azam tv mpya uje nikupe cha Startimes.
 
habari wana jf
Niko Boko-Dar,nahitaji king'amuzi cha startimes,aliyenacho ani PM

Ninacho, kipo salasala antenna imevunjija na remote ilipotea siku nahama ila receiver yake ipo makini zaidi! Kama utapata missing parts nijibu nikuelekeze ukachukue mbuyuni!
 
Emwahaji. Una tatizo gani ? nyama bado iko buchani. kuna steki. fileti. nundu hata mbavu. iweje wewe ununue utumbo wa jana ulio china ?? Achanana startimes ni zaidi ya dagaa waiochina.
 
Emwahaji. Una tatizo gani ? nyama bado iko buchani. kuna steki. fileti. nundu hata mbavu. iweje wewe ununue utumbo wa jana ulio china ?? Achanana startimes ni zaidi ya dagaa waiochina.

nataka kautumbo kalikochina nikapikie ndizi ndugu yangu bategereza
 
Ninacho, kipo salasala antenna imevunjija na remote ilipotea siku nahama ila receiver yake ipo makini zaidi! Kama utapata missing parts nijibu nikuelekeze ukachukue mbuyuni!

nitolee 5000/= ya remote
 
habari wana jf
Niko Boko-Dar,nahitaji king'amuzi cha startimes,aliyenacho ani PM

Yaani kama ITV wangekuwa kwenye king'amuzi cha DSTV mie ningekupa bureeee king'amuzi cha startimes.. Na siku siku wakiingia tu nitakuja hapa kutangaza kukigawa bureeee kwa mtu anaetaka..
 
ndg wana jf,bado nahitaji king'amuzi hicho,kama unacho ni pm
 
ninacho, kipo salasala antenna imevunjija na remote ilipotea siku nahama ila receiver yake ipo makini zaidi! Kama utapata missing parts nijibu nikuelekeze ukachukue mbuyuni!

tuwasiliane mkuu kuhusu king'amuzi
 
Nafikiri title inajitosheleza,Nipo Dar.

Nawasilisha!
 
Kama unacho nitafte kwenye 0686655701.NIPO DAR.
 
mkuu, naona unajiandaa na world cup. vinatangazwa sana na vitanunuliwa sana msimu huu ila sina uhakika kama vimeboreshwa,
 
nipe 60elfu nikupatie full remote,antena ya ndani ni pm
 
mkuu, naona unajiandaa na world cup. vinatangazwa sana na vitanunuliwa sana msimu huu ila sina uhakika kama vimeboreshwa,

Wajad,sijiandai na world cup,mbona azam tv kuna baadh ya channel zitaonesha?nataka star times ili niinjoi pia CHANEL ONE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom