Iringa Native
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 961
- 3,057
dah ujana raha sana.... 1.5m mtu anaipeleka katika simu wakati wengne 1.5m wanaitafta wapate mtaji wa kuagiza matunda toka mombasa... enzi zangu nlikuwa na matumizi kama haya ila leo yananighalim but natumaini kywa mtoa mada na supporters mmeweka akiba ya uzeeni ili yasiwakute yanayo tukuta kaka zenu.. ahsante