Nina 1.3m, natafuta ps5

Nina 1.3m, natafuta ps5

Ps2 na ps 3 zina utofauti sana.. ps 3 na ps 4 zina utofauti mkubwa sana.. na ps 5 na ps 4 hazina utofauti sana
Ps6 ikitoka utasema tofaut kubwa ilikuwa kwa ps5 na ps4 tu
Insue ni kuwa kadri mda unavyoenda ndo tofaut kubwa inaongezeka
Ndo maana ps5 na ps4 tofaut ni miaka7 na sio 1 kama simu
 
Nimecheza Ps4 pro (recently farcry 5) alaf Ps5 (sasa nacheza farcry 6). sioni utofauti mkubwa sana wa graphics
Ps4 pro na ps5 huenda kweli utofauti ukaonekana mdogo.

Hii pia tv yako inaweza kuchangia. Ukipata TV nzuri ya 4k utofauti utakuwepo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom