reg edit
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 403
- 504
kama mimba umeikubali utaihudumia achilia mbali ni yako au si yako basi huyo mwanamke amefanya makosa kuitoa na kwa upande wangu huyo sio wife material na achana naye japo ni vigumu kwa kuwa ulishampenda... Time heals everything, utampata ambaye anamuogopa mungu ambaye hata kama akipata ujauzito kwa kubakwa hawezi kutoa hiyo mimba. All the best!!naomba nieleweshe jambo hapa, kama mdada kaitoa mimba yako je anaweza kweli kuwa na mapenzi na wewe?