kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
mdau,nadhan hujaelewa maelezo yangu vzr.hajawah kunifumania zaid ya kuhis tu fulan au fulan hata kwa
kusalimiana tu.hatak niwe karibu na rafk yyt tangu
nasoma,kila mtu alimuona hafai .na km nngetaka kuua
cdhan km tungekuwa nyumba moja had muda huu.
kuna wenza wanafanya mambo makubwa zaid ila husameheana na maisha huendelea,n lip hilo baya kuliko lote ntakuwa nmetenda lisiweze samehewa?
ckatai cwez nkawa perfect lazma nna mapungufu yangu,je wote waishio kwa aman ktk ndoa zao hawana mapungufu na hawagomban?mbona hawatendw hv!
WE DADA UTAKUA UMEFANYA ISSUE MBAYA SANA KWA HUYU MSELA, YEYE PIA NI BINADAMU MWENYE AKILI ZILIZOTIMIA NA ZENYE UTASHI, SIO RAHISI MTU AHAME CHUMBA KWA MAKISIO TU YA MATUKIO MABAYA UYAFANYAYO.... TUNGEPATA FURSA YA KUMUULIZA NA HUYO MSELA WAKO TUNGEWEZA KUSHAURI KWA UFASAHA KABISA.................. :smash: