Hbr wakuu,
Nimerudi tena, baada ya kutanga na dunia nikakutana na mkaka mmoja tulikuwa marafiki kwa muda usiozid mwaka, jamaa huyu alikua ananitaka basi baada ya kumsumbua sumbua mwisho wa siku nikamkubalia akanigonga mala moja ila baada ya kutoka hapo nikamsaminisha na mume wangu yaan hawana tofauti tena mala 10 hata ya mume wangu anacare huyu anaonekana play boy, japo nashukuru tulitumia kinga
Baada ya kumaliza tendo nililia SNA why nimemsaliti mume wangu anaenipenda na kuniheshim nikaapa na kutubu ctachepuka tena nilitaman kuonja nje kupoje lakin hakuna tofauti yoyote na ndani kwangu. Wanawake wenzangu mliolewa tutulie kwenye ndoa zetu hao vibrazamen hawana lolote zaid ya kujiabisha tu nimekoma mwanzo na mwisho SICHEPUKI TENA
Kilichinileta hapa huyu jamaa playboy baada ya kumaliza shughur kurudi home nikampiga kibut nikamweleza sikuhitaji kuwa naww nayy mwnyewe anaonyesha MTU was videm bas nikampa sababu kibao, nikamwambia Mr akijua ujue utaharibu kaz na, Huku upo ugenin akaelewa tukaachana Ila kama Luna kibifu fulan HV coz nikimtext inshu za kaz ananijib anavyo jisikia
Huyu jamaa ni afisa wangu wa mkopo so nahitaji kuchukua mkopo lakin anajufanya ananirusha rusha wakat sidaiwi mpaka Mr akaniuliza huyo jamaa VP mbona anakuzingua nikamjibu alikua anataka rushwa ya pesa cjampa nilipochukua ule mkopo so amemaind
Mr anasema nenda oficn kaonane na boss wake umueleze unataka mkopo Ila usimchomee huyo jamaa nikamwambia sawa swali linakuja?
Endapo akiniona na boss wake sitamuharibia kaz na je? Atachukuliaje so bifu litazidi tutakua hatusalimian nayy ndo afisa wangu.
Ushauri povu ruksa.
Nimerudi tena, baada ya kutanga na dunia nikakutana na mkaka mmoja tulikuwa marafiki kwa muda usiozid mwaka, jamaa huyu alikua ananitaka basi baada ya kumsumbua sumbua mwisho wa siku nikamkubalia akanigonga mala moja ila baada ya kutoka hapo nikamsaminisha na mume wangu yaan hawana tofauti tena mala 10 hata ya mume wangu anacare huyu anaonekana play boy, japo nashukuru tulitumia kinga
Baada ya kumaliza tendo nililia SNA why nimemsaliti mume wangu anaenipenda na kuniheshim nikaapa na kutubu ctachepuka tena nilitaman kuonja nje kupoje lakin hakuna tofauti yoyote na ndani kwangu. Wanawake wenzangu mliolewa tutulie kwenye ndoa zetu hao vibrazamen hawana lolote zaid ya kujiabisha tu nimekoma mwanzo na mwisho SICHEPUKI TENA
Kilichinileta hapa huyu jamaa playboy baada ya kumaliza shughur kurudi home nikampiga kibut nikamweleza sikuhitaji kuwa naww nayy mwnyewe anaonyesha MTU was videm bas nikampa sababu kibao, nikamwambia Mr akijua ujue utaharibu kaz na, Huku upo ugenin akaelewa tukaachana Ila kama Luna kibifu fulan HV coz nikimtext inshu za kaz ananijib anavyo jisikia
Huyu jamaa ni afisa wangu wa mkopo so nahitaji kuchukua mkopo lakin anajufanya ananirusha rusha wakat sidaiwi mpaka Mr akaniuliza huyo jamaa VP mbona anakuzingua nikamjibu alikua anataka rushwa ya pesa cjampa nilipochukua ule mkopo so amemaind
Mr anasema nenda oficn kaonane na boss wake umueleze unataka mkopo Ila usimchomee huyo jamaa nikamwambia sawa swali linakuja?
Endapo akiniona na boss wake sitamuharibia kaz na je? Atachukuliaje so bifu litazidi tutakua hatusalimian nayy ndo afisa wangu.
Ushauri povu ruksa.
