Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,773
- 40,444
Hadi huku namanyele shingapi?
Ninauza NY.ege na mkoani ninatuma
Ninauza NY.ege na mkoani ninatuma
Umeongea point.Huwa siwaelewi nyie vilaza. Hivi ikitokea mumeo akasoma huu uzi si anatambua kabisa mke wake ni mchepuko wa Afisa Mkopo!!!
Ikiwa unamhurumia sana huyo Afisa mkopo na hautaki kifuata ushauri wa mmeo, wakati unataka mkopo mpatie tena jamaa hiyo papuchi uone atakavyofanya fasta kukuandalia mkopo mpya
Issue siyo kujutia kosa pekee. Kwa maelezo yake mwenyewe bado she is still not being honest with her husband. Bado anatengeneza mazingira ya kum protect hiyo mshikaji. Kama kweli kajutia kwanini bado anamlinda huyo jamaa anayeonyesha kutengeneza mazingira yakuendelea naye kimapenzi? Think about it.Kwani si kashaandika kuwa kajutia kosa lake?
Wabongo wanapenda sana kujihesabia haki...
Una uhakika gani kama huyo Afisa mikopo wako na mumeo hawapo humu jamii forum, je wakisoma na kuunganisha dots hali yako na ndoa yako vitakuwaje? (hayo tuyaache) Binafsi nakushauri utulie na kufuata ushauri wa mumeo, kama ni huruma muhurumie mumeo siyo huyo afisa mikopo ambaye hana future na wewe wala familia yako kwanza hata kwenu hajulikani. hiyo kukuwekea ngumu anataka umpe uchi tena.Hbr wakuu,
Nimerudi tena, baada ya kutanga na dunia nikakutana na mkaka mmoja tulikuwa marafiki kwa muda usiozid mwaka, jamaa huyu alikua ananitaka basi baada ya kumsumbua sumbua mwisho wa siku nikamkubalia akanigonga mala moja ila baada ya kutoka hapo nikamsaminisha na mume wangu yaan hawana tofauti tena mala 10 hata ya mume wangu anacare huyu anaonekana play boy, japo nashukuru tulitumia kinga
Baada ya kumaliza tendo nililia SNA why nimemsaliti mume wangu anaenipenda na kuniheshim nikaapa na kutubu ctachepuka tena nilitaman kuonja nje kupoje lakin hakuna tofauti yoyote na ndani kwangu. Wanawake wenzangu mliolewa tutulie kwenye ndoa zetu hao vibrazamen hawana lolote zaid ya kujiabisha tu nimekoma mwanzo na mwisho SICHEPUKI TENA
Kilichinileta hapa huyu jamaa playboy baada ya kumaliza shughur kurudi home nikampiga kibut nikamweleza sikuhitaji kuwa naww nayy mwnyewe anaonyesha MTU was videm bas nikampa sababu kibao, nikamwambia Mr akijua ujue utaharibu kaz na, Huku upo ugenin akaelewa tukaachana Ila kama Luna kibifu fulan HV coz nikimtext inshu za kaz ananijib anavyo jisikia
Huyu jamaa ni afisa wangu wa mkopo so nahitaji kuchukua mkopo lakin anajufanya ananirusha rusha wakat sidaiwi mpaka Mr akaniuliza huyo jamaa VP mbona anakuzingua nikamjibu alikua anataka rushwa ya pesa cjampa nilipochukua ule mkopo so amemaind
Mr anasema nenda oficn kaonane na boss wake umueleze unataka mkopo Ila usimchomee huyo jamaa nikamwambia sawa swali linakuja?
Endapo akiniona na boss wake sitamuharibia kaz na je? Atachukuliaje so bifu litazidi tutakua hatusalimian nayy ndo afisa wangu.
Ushauri povu ruksa.
Vipi yule jamaa wa muheza ( mume wa mtu) nae ulifanikiwa kumpa? Dada thread zako nazifatilia kwa umakini sana but cha kukushauri kwanza okoka mpe yesu maisha yko inaonekana una pepo la ngono na kutaman wanaume nje ya ndoa
Una uhakika gani kama huyo Afisa mikopo wako na mumeo hawapo humu jamii forum, je wakisoma na kuunganisha dots hali yako na ndoa yako vitakuwaje? (hayo tuyaache) Binafsi nakushauri utulie na kufuata ushauri wa mumeo, kama ni huruma muhurumie mumeo siyo huyo afisa mikopo ambaye hana future na wewe wala familia yako kwanza hata kwenu hajulikani. hiyo kukuwekea ngumu anataka umpe uchi tena.
Issue siyo kujutia kosa pekee. Kwa maelezo yake mwenyewe bado she is still not being honest with her husband. Bado anatengeneza mazingira ya kum protect hiyo mshikaji. Kama kweli kajutia kwanini bado anamlinda huyo jamaa anayeonyesha kutengeneza mazingira yakuendelea naye kimapenzi? Think about it.
Mumeo yupo JF?
Maana umeandika kinaga ubaga kiasi kwamba mumeo anaweza kujua kabisa mkewe kagongwa outside...
Ungempa tigo ili upate radha mpyaHbr wakuu,
Nimerudi tena, baada ya kutanga na dunia nikakutana na mkaka mmoja tulikuwa marafiki kwa muda usiozid mwaka, jamaa huyu alikua ananitaka basi baada ya kumsumbua sumbua mwisho wa siku nikamkubalia akanigonga mala moja ila baada ya kutoka hapo nikamsaminisha na mume wangu yaan hawana tofauti tena mala 10 hata ya mume wangu anacare huyu anaonekana play boy, japo nashukuru tulitumia kinga
Baada ya kumaliza tendo nililia SNA why nimemsaliti mume wangu anaenipenda na kuniheshim nikaapa na kutubu ctachepuka tena nilitaman kuonja nje kupoje lakin hakuna tofauti yoyote na ndani kwangu. Wanawake wenzangu mliolewa tutulie kwenye ndoa zetu hao vibrazamen hawana lolote zaid ya kujiabisha tu nimekoma mwanzo na mwisho SICHEPUKI TENA
Kilichinileta hapa huyu jamaa playboy baada ya kumaliza shughur kurudi home nikampiga kibut nikamweleza sikuhitaji kuwa naww nayy mwnyewe anaonyesha MTU was videm bas nikampa sababu kibao, nikamwambia Mr akijua ujue utaharibu kaz na, Huku upo ugenin akaelewa tukaachana Ila kama Luna kibifu fulan HV coz nikimtext inshu za kaz ananijib anavyo jisikia
Huyu jamaa ni afisa wangu wa mkopo so nahitaji kuchukua mkopo lakin anajufanya ananirusha rusha wakat sidaiwi mpaka Mr akaniuliza huyo jamaa VP mbona anakuzingua nikamjibu alikua anataka rushwa ya pesa cjampa nilipochukua ule mkopo so amemaind
Mr anasema nenda oficn kaonane na boss wake umueleze unataka mkopo Ila usimchomee huyo jamaa nikamwambia sawa swali linakuja?
Endapo akiniona na boss wake sitamuharibia kaz na je? Atachukuliaje so bifu litazidi tutakua hatusalimian nayy ndo afisa wangu.
Ushauri povu ruksa.
Wabongo wanapenda kujifanya watakatifu wakati vitombi wakubwa, Achen kujiona mko perfectly kwa kila jambo.Kwani si kashaandika kuwa kajutia kosa lake?
Wabongo wanapenda sana kujihesabia haki...
Wewe unachotaka nikuchukua mkopoWabongo wanapenda kujifanya watakatifu wakati vitombi wakubwa, Achen kujiona mko perfectly kwa kila jambo.
Kuna mdada humu nae anajifanyaga Much know SNA, kila Uzi anao andika mwanamke mwenzake lazima apite akandie namsubir nae bado hajaja
Nyie toen ushaur ukiona huna pita kimya kimya
Kama kaweza kumuacha mumewe na kuchepuka na mtu baki anashindwaje kusikiliza ushauri wa watu baki na kuachana na ushauri wa Mumewe ??Sasa ushauri wa mumeo huutaki kuusikiliza,sie watu baki utasikiliza ushauri wangu??

So umemuona mumeo boya si ndio?
Kumbe kweli neno la mungu litakufikia popote..mimi kanisani siendi, jukwaa la dini sitaki hata kuliona ila nimepata neno.Kumbe kuna dhambi kubwa na ndogo? Mie nilidhani zote ni dhambi?
Somo la kuchagua dhambi nzuri na dhambi mbaya sikujifunza.
Nilijifunza kuzikataa dhambi zote.
Kataa dhambi mche mola wako.