Nimueleweje Mwanaume huyu

Nimueleweje Mwanaume huyu

Huwa siwaelewi nyie vilaza. Hivi ikitokea mumeo akasoma huu uzi si anatambua kabisa mke wake ni mchepuko wa Afisa Mkopo!!!
Ikiwa unamhurumia sana huyo Afisa mkopo na hautaki kifuata ushauri wa mmeo, wakati unataka mkopo mpatie tena jamaa hiyo papuchi uone atakavyofanya fasta kukuandalia mkopo mpya
Umeongea point.
Sema kwa mwandiko wake tu unapata picha hakuona hiki ulicho ona wewe.
 
Kwani si kashaandika kuwa kajutia kosa lake?

Wabongo wanapenda sana kujihesabia haki...
Issue siyo kujutia kosa pekee. Kwa maelezo yake mwenyewe bado she is still not being honest with her husband. Bado anatengeneza mazingira ya kum protect hiyo mshikaji. Kama kweli kajutia kwanini bado anamlinda huyo jamaa anayeonyesha kutengeneza mazingira yakuendelea naye kimapenzi? Think about it.
 
Hbr wakuu,
Nimerudi tena, baada ya kutanga na dunia nikakutana na mkaka mmoja tulikuwa marafiki kwa muda usiozid mwaka, jamaa huyu alikua ananitaka basi baada ya kumsumbua sumbua mwisho wa siku nikamkubalia akanigonga mala moja ila baada ya kutoka hapo nikamsaminisha na mume wangu yaan hawana tofauti tena mala 10 hata ya mume wangu anacare huyu anaonekana play boy, japo nashukuru tulitumia kinga

Baada ya kumaliza tendo nililia SNA why nimemsaliti mume wangu anaenipenda na kuniheshim nikaapa na kutubu ctachepuka tena nilitaman kuonja nje kupoje lakin hakuna tofauti yoyote na ndani kwangu. Wanawake wenzangu mliolewa tutulie kwenye ndoa zetu hao vibrazamen hawana lolote zaid ya kujiabisha tu nimekoma mwanzo na mwisho SICHEPUKI TENA

Kilichinileta hapa huyu jamaa playboy baada ya kumaliza shughur kurudi home nikampiga kibut nikamweleza sikuhitaji kuwa naww nayy mwnyewe anaonyesha MTU was videm bas nikampa sababu kibao, nikamwambia Mr akijua ujue utaharibu kaz na, Huku upo ugenin akaelewa tukaachana Ila kama Luna kibifu fulan HV coz nikimtext inshu za kaz ananijib anavyo jisikia

Huyu jamaa ni afisa wangu wa mkopo so nahitaji kuchukua mkopo lakin anajufanya ananirusha rusha wakat sidaiwi mpaka Mr akaniuliza huyo jamaa VP mbona anakuzingua nikamjibu alikua anataka rushwa ya pesa cjampa nilipochukua ule mkopo so amemaind

Mr anasema nenda oficn kaonane na boss wake umueleze unataka mkopo Ila usimchomee huyo jamaa nikamwambia sawa swali linakuja?
Endapo akiniona na boss wake sitamuharibia kaz na je? Atachukuliaje so bifu litazidi tutakua hatusalimian nayy ndo afisa wangu.

Ushauri povu ruksa.
Una uhakika gani kama huyo Afisa mikopo wako na mumeo hawapo humu jamii forum, je wakisoma na kuunganisha dots hali yako na ndoa yako vitakuwaje? (hayo tuyaache) Binafsi nakushauri utulie na kufuata ushauri wa mumeo, kama ni huruma muhurumie mumeo siyo huyo afisa mikopo ambaye hana future na wewe wala familia yako kwanza hata kwenu hajulikani. hiyo kukuwekea ngumu anataka umpe uchi tena.
 
Watanzania tuendelee kulijenga Taifa letu pendwa, lenye misingi ya uzalendo, umoja na mshikamano, tupendane wote kwa pamoja watanzania wenzangu; Tufanye kazi sana kwa kujituma ili kufikia uchumi wa kati.


√Uzalendo kwanza
 
Vipi yule jamaa wa muheza ( mume wa mtu) nae ulifanikiwa kumpa? Dada thread zako nazifatilia kwa umakini sana but cha kukushauri kwanza okoka mpe yesu maisha yko inaonekana una pepo la ngono na kutaman wanaume nje ya ndoa
 
Ahsante kwa kunifuatilia, yule jamaa nilimpotezea na sikuwah kumpa nilimblock namuda mrefu cjawasiliana nae, nilihamishwa kikaz yy yupo muheza mm nipo Morogoro

Nasemaje mm nimetubu na kuokoka kabisaaa ni tamaa tu ya kutaka kujaribu nje lakin hakuna mpya na siwez Fanya hivyo tena.
Vipi yule jamaa wa muheza ( mume wa mtu) nae ulifanikiwa kumpa? Dada thread zako nazifatilia kwa umakini sana but cha kukushauri kwanza okoka mpe yesu maisha yko inaonekana una pepo la ngono na kutaman wanaume nje ya ndoa
 
Ahsante mkuu, sio kama namuonea huruma ila tatizo linakuja nikienda pale officn kwao yule boss wake atamuita na kumuuliza kwnn kadhindwa kunisaidia wakat yy ndo afsa wangu na ananijua vzr,

Cjui atakua na jibu gani Ila ninachokiona hapo, bifu litakua kubwa na anaweza akavujisha siri ikawa tatizo kwa Mr wangu akijua
Una uhakika gani kama huyo Afisa mikopo wako na mumeo hawapo humu jamii forum, je wakisoma na kuunganisha dots hali yako na ndoa yako vitakuwaje? (hayo tuyaache) Binafsi nakushauri utulie na kufuata ushauri wa mumeo, kama ni huruma muhurumie mumeo siyo huyo afisa mikopo ambaye hana future na wewe wala familia yako kwanza hata kwenu hajulikani. hiyo kukuwekea ngumu anataka umpe uchi tena.
 
Nimlinde kwa kip mkuu, kumbuka huyu mshkaji mm nayy ndo tunajua kwnn ananiwekea ngumu, mm simtak nimeshafanya kosa na cwez kurudia kosa tena ctaman hata kumuona nataman hata nibadilishiwe afsa mwingine cjui kama itawezekana maana boss wao anaweza niuliza kwnn ubadilishiwe afsa nikakosa jibu, wala cfikilii kuduu nae tena
Issue siyo kujutia kosa pekee. Kwa maelezo yake mwenyewe bado she is still not being honest with her husband. Bado anatengeneza mazingira ya kum protect hiyo mshikaji. Kama kweli kajutia kwanini bado anamlinda huyo jamaa anayeonyesha kutengeneza mazingira yakuendelea naye kimapenzi? Think about it.
 
Atajuaje kwan kuna maafsa mikopo wangapi humu jukwaan, huu ndo uzuri wa JF unaongea kwa uwaz hakuna kujuana, na uzuri nasoma comment point nachukua pumba nawapa kuku wangu wale
Mumeo yupo JF?

Maana umeandika kinaga ubaga kiasi kwamba mumeo anaweza kujua kabisa mkewe kagongwa outside...
 
Hbr wakuu,
Nimerudi tena, baada ya kutanga na dunia nikakutana na mkaka mmoja tulikuwa marafiki kwa muda usiozid mwaka, jamaa huyu alikua ananitaka basi baada ya kumsumbua sumbua mwisho wa siku nikamkubalia akanigonga mala moja ila baada ya kutoka hapo nikamsaminisha na mume wangu yaan hawana tofauti tena mala 10 hata ya mume wangu anacare huyu anaonekana play boy, japo nashukuru tulitumia kinga

Baada ya kumaliza tendo nililia SNA why nimemsaliti mume wangu anaenipenda na kuniheshim nikaapa na kutubu ctachepuka tena nilitaman kuonja nje kupoje lakin hakuna tofauti yoyote na ndani kwangu. Wanawake wenzangu mliolewa tutulie kwenye ndoa zetu hao vibrazamen hawana lolote zaid ya kujiabisha tu nimekoma mwanzo na mwisho SICHEPUKI TENA

Kilichinileta hapa huyu jamaa playboy baada ya kumaliza shughur kurudi home nikampiga kibut nikamweleza sikuhitaji kuwa naww nayy mwnyewe anaonyesha MTU was videm bas nikampa sababu kibao, nikamwambia Mr akijua ujue utaharibu kaz na, Huku upo ugenin akaelewa tukaachana Ila kama Luna kibifu fulan HV coz nikimtext inshu za kaz ananijib anavyo jisikia

Huyu jamaa ni afisa wangu wa mkopo so nahitaji kuchukua mkopo lakin anajufanya ananirusha rusha wakat sidaiwi mpaka Mr akaniuliza huyo jamaa VP mbona anakuzingua nikamjibu alikua anataka rushwa ya pesa cjampa nilipochukua ule mkopo so amemaind

Mr anasema nenda oficn kaonane na boss wake umueleze unataka mkopo Ila usimchomee huyo jamaa nikamwambia sawa swali linakuja?
Endapo akiniona na boss wake sitamuharibia kaz na je? Atachukuliaje so bifu litazidi tutakua hatusalimian nayy ndo afisa wangu.

Ushauri povu ruksa.
Ungempa tigo ili upate radha mpya
 
Kwani si kashaandika kuwa kajutia kosa lake?

Wabongo wanapenda sana kujihesabia haki...
Wabongo wanapenda kujifanya watakatifu wakati vitombi wakubwa, Achen kujiona mko perfectly kwa kila jambo.

Kuna mdada humu nae anajifanyaga Much know SNA, kila Uzi anao andika mwanamke mwenzake lazima apite akandie namsubir nae bado hajaja

Nyie toen ushaur ukiona huna pita kimya kimya
 
Kumbe kuna dhambi kubwa na ndogo? Mie nilidhani zote ni dhambi?

Somo la kuchagua dhambi nzuri na dhambi mbaya sikujifunza.

Nilijifunza kuzikataa dhambi zote.

Kataa dhambi mche mola wako.
 
Wabongo wanapenda kujifanya watakatifu wakati vitombi wakubwa, Achen kujiona mko perfectly kwa kila jambo.

Kuna mdada humu nae anajifanyaga Much know SNA, kila Uzi anao andika mwanamke mwenzake lazima apite akandie namsubir nae bado hajaja

Nyie toen ushaur ukiona huna pita kimya kimya
Wewe unachotaka nikuchukua mkopo
ili kufanikisha hilo inatakiwa ujue..
Everything is fair in love and war.

Huyo jamaa anataka akutafune tena ndo uchukue mkopo, kama hutaki unaweza kufanya chochote ili upate mkopo hata afisa mkopo akifukizwa...

Lakini itakuwa ni upuuzi kumfukizisha mtu kazi kisa hutaki akugonge wakati ameshakugonga.
 
Sasa ushauri wa mumeo huutaki kuusikiliza,sie watu baki utasikiliza ushauri wangu??
Kama kaweza kumuacha mumewe na kuchepuka na mtu baki anashindwaje kusikiliza ushauri wa watu baki na kuachana na ushauri wa Mumewe ??
 
Kumbe kuna dhambi kubwa na ndogo? Mie nilidhani zote ni dhambi?

Somo la kuchagua dhambi nzuri na dhambi mbaya sikujifunza.

Nilijifunza kuzikataa dhambi zote.

Kataa dhambi mche mola wako.
Kumbe kweli neno la mungu litakufikia popote..mimi kanisani siendi, jukwaa la dini sitaki hata kuliona ila nimepata neno.

Iko ivi mkuu, nadhani ulishawahi fanya maswali ya multiple choice. Hapa kuna options mbili.
Njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba (hatutatosha wote) na ile nyingine pana sijui inaenda wapi.
Wengine(na mimi) tumechagua ile pana na tutakutana motoni.

Usijichoshe kuhubiri neno kwenye suala linalohusu maamuzi ya mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom