Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Jamani eh, valentine ndo hiyoo inachungulia. Natamani nimuandalie wife wangu zawadi nzuri na spesho. Miaka ya nyuma nimewahi kumpa vitu kama jewellery (vito), simu aliyoipenda, nguo, viatu n.k. Je nimuandalie nini valentine hii baada ya miaka 15 ya ndoa yenye furaha?