Nimuache aende ama nimpe talaka

Nimuache aende ama nimpe talaka

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Habari waungwana.

Nimeulizwa suala hilo na mfanyakazi mwenzangu naombeni ushauri wenu story iko hivi:-

Mfanyakazi mwenzangu ni baba wa watoto 2 na na maisha yake ni ya kawaida na mke wake ni mama wa nyumbani tuuu.
Tatizo limekuja kua mke wake anataka na yeye afanye kazi ama ajishuhulishe na biashara ila mume wake anawivu sana na anampenda mke wake na mahitaji japo madogo kwa uwezo wake anampa ila mwanamke kashikilia kua atafutiwe kazi ama maduka awe anapekeka biashara ya vitu vikavu kama vileja n.k

Huyu mwanamke anaonekana anapenda kujipatia kipato kila siku analalamika kua ataondoka na kuenda kujitaftia maisha mbali mara anasema maisha yake kachoka bora aache.

Sasa mwanaume alikua na wazo la ama amuache ama ampe ruhusa aende akatafute maisha huko yaliko bila ya kumuacha.

Wadau munamshaurije.
 
Wivu tena huyo jamaa yako mwambie ni msenge hivi unakatazaje mke asijishughulishe na yeye anaitaji pesa atatue shida zake binafsi ambazo sio lazima akushirikishe wewe pengine za Siri
 
Habari waungwana.

Nimeulizwa suala hilo na mfanyakazi mwenzangu naombeni ushauri wenu story iko hivi:-

Mfanyakazi mwenzangu ni baba wa watoto 2 na na maisha yake ni ya kawaida na mke wake ni mama wa nyumbani tuuu.
Tatizo limekuja kua mke wake anataka na yeye afanye kazi ama ajishuhulishe na biashara ila mume wake anawivu sana na anampenda mke wake na mahitaji japo madogo kwa uwezo wake anampa ila mwanamke kashikilia kua atafutiwe kazi ama maduka awe anapekeka biashara ya vitu vikavu kama vileja n.k

Huyu mwanamke anaonekana anapenda kujipatia kipato kila siku analalamika kua ataondoka na kuenda kujitaftia maisha mbali mara anasema maisha yake kachoka bora aache.

Sasa mwanaume alikua na wazo la ama amuache ama ampe ruhusa aende akatafute maisha huko yaliko bila ya kumuacha.

Wadau munamshaurije.
Huyu hafugiki tena kashakua namipango yake mingine zaidi na biashara.......achane naye aende hakapigwe na wanaumme wengine baada ya mwaka ataona kwamba hamna tofouti wanaumme niwale wale atarudi
 
Waache waamue wao.. sio kila jambo ushauri.
 
Mwambie amuache aende jumla, atoe taarifa kwa wazazi na ndugu zake.

Akiondoka atulie atafute mwanamke mwingine. Huyo hawezi kurudi tena.
 
Habari waungwana.

Nimeulizwa suala hilo na mfanyakazi mwenzangu naombeni ushauri wenu story iko hivi:-

Mfanyakazi mwenzangu ni baba wa watoto 2 na na maisha yake ni ya kawaida na mke wake ni mama wa nyumbani tuuu.
Tatizo limekuja kua mke wake anataka na yeye afanye kazi ama ajishuhulishe na biashara ila mume wake anawivu sana na anampenda mke wake na mahitaji japo madogo kwa uwezo wake anampa ila mwanamke kashikilia kua atafutiwe kazi ama maduka awe anapekeka biashara ya vitu vikavu kama vileja n.k

Huyu mwanamke anaonekana anapenda kujipatia kipato kila siku analalamika kua ataondoka na kuenda kujitaftia maisha mbali mara anasema maisha yake kachoka bora aache.

Sasa mwanaume alikua na wazo la ama amuache ama ampe ruhusa aende akatafute maisha huko yaliko bila ya kumuacha.

Wadau munamshaurije.
Amtafutie shughuli ya kufanya ambayo ni nzuri na salama kwa mke wa mtu. Amuachie afanye. Sisemi kuwa sio risky, but then what is life without risk? What profit is there to cage a human being? Let her go
 
Hapo suala la kuondoka lisifanyike. ongea na huyo mme kuhusu kushindana na wivu. kama ana wivu na anampenda iweje tena amuache au ampe talaka? mnajichanganya hapa. yeye atafute shughuli ambayo itamfaa mwanamke na wajadiliane jamanai ndoa ni kukaa pamoja na kujadili mipango ndoa zenu zipoje? ni hilo tu. hili ni suala dogo sana wala halihitaji kuumiza kichwa
 
Habari waungwana.

Nimeulizwa suala hilo na mfanyakazi mwenzangu naombeni ushauri wenu story iko hivi:-

Mfanyakazi mwenzangu ni baba wa watoto 2 na na maisha yake ni ya kawaida na mke wake ni mama wa nyumbani tuuu.
Tatizo limekuja kua mke wake anataka na yeye afanye kazi ama ajishuhulishe na biashara ila mume wake anawivu sana na anampenda mke wake na mahitaji japo madogo kwa uwezo wake anampa ila mwanamke kashikilia kua atafutiwe kazi ama maduka awe anapekeka biashara ya vitu vikavu kama vileja n.k

Huyu mwanamke anaonekana anapenda kujipatia kipato kila siku analalamika kua ataondoka na kuenda kujitaftia maisha mbali mara anasema maisha yake kachoka bora aache.

Sasa mwanaume alikua na wazo la ama amuache ama ampe ruhusa aende akatafute maisha huko yaliko bila ya kumuacha.

Wadau munamshaurije.
anataka akatafute maisha / biashara mbali na mumew?
 
Huyo jamaa yako bado hajakua kiakili. Hakustahili kukaa na mtoto wa watu.
 
Kama ameshindwa vyote ampe talaka nwanamke wa watu nae akatafute pesa..Kuna wanaume wana roho mbaya..wivuwivu wivu vikanyagio vyangu...mxieeeeww
 
Back
Top Bottom