yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
nilikua nakaa na mdogo wangu chumba ki1,nilivooa ikabidi dogo aondoke,sasa huyo dogo akajakunitembelea siku moja nikiwa na wife.tukiwa tumekaa pale chumbani ,wife,mimi na dogo,nikawa nataka kubadilisha nguo,ningemtoa nani nje ili nibadilishe nguo jamani....changia alafu nitakwambia nilichofanya:eyebrows: