nimtoe nani,nimuache nani jamani?

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
nilikua nakaa na mdogo wangu chumba ki1,nilivooa ikabidi dogo aondoke,sasa huyo dogo akajakunitembelea siku moja nikiwa na wife.tukiwa tumekaa pale chumbani ,wife,mimi na dogo,nikawa nataka kubadilisha nguo,ningemtoa nani nje ili nibadilishe nguo jamani....changia alafu nitakwambia nilichofanya:eyebrows:
 
unamtoa dogo kisanii kama vipi muagize dukani kitu ambacho atasumbuka kukipata akirudi tayari umeshamaliza
 
Ukimtoa waif lazima ahisi wewe Bwabwa, na atakuwa sahihi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom