Nimshaurije mie

issue ni kuwa cnc last year november walipanga waone mwaka huu mwez wa 12, so mwaka jana mkaka akmpeleka binti kwao wakamfaham, na huyo mkaka nae mwaka huu mwez wa nne akaenda kwa akina mdada wakamfaham so ikabakia issue ya bro wangu awatume wazaz toka arusha waje dar kuanza hzo prrocess zingine,
ila kabla ya kuja wazaz wa bro wangu wakadai ni mpaka binti abadilishe din, wifi akabadl dini so ikabak kaz ya bro wangu kuwaleta wazaz wake Dar, sasa baada ya huku kuachana na kurudiana ndio bro wangu ghafla anadai hana uwezo wa kuoa kwa sasa na hajui atakuwa nao lin, ndio mdada anaona kapotezewa mda..........
ndugu mtoa mada kwann huyo bidada yeye anataka ndoa ya vodafasta ama , kama mwanaume kisha mwambia basi asubiri akiwa tayari atamwoa tu , anaonekana ametega mabomu mawili wakati mmoja asa kwani swala la kumwambia mzazi kwamba mchuchu mtarajiwa ishu hazijakaa fresh so ndoa inasogezwa mbele lina ugumu gani "EVery woman has go his man " asa yeye hajiamini cjui , mtaka vyote hukosa vyote
 
leo niko na mishe zangu, nashangaa bi mdada huyo
Ni wifi ambaye pia ni rafiki yangu kipenz, kama wiki tatu zilizopita waligombana na kaka yangu ambaye ni mpenz wake, yy akaamua kuachana nae, kwa madai kuwa amaemchoka, ni kweli huyu bi mdada anampenda sana hy my bro na amefanya mengi kwa ajili yake.

kuachana huku kulienda sambamba na kubadilisha namba ya sim, na kujiondoa fb lakini pia na kuanzisha mahusiano mapya na jamaa ambaye alikuwa rafikiye wa kawaida ingawa alikuwa akimtaka siku za nyuma. penz hl jipya likapamba moto so wikend ya wk hyo wakaenda zenj kujipa raha, bi mdada aliporud job j3, rafiki wa mpenzi wake huyu mpya ambaye ni rafikiye pia akamfata kwa ofice na kumwambia kuwa my baby wake ana mawasiliano na x wake( yaan huyo mpenz mpya bado anawasiliana na x gf wake), bi mdada akaamua kumuuliza mwanaume, mwanzon hakukubali ila alipobanwa akakubali kuwa ni kweli kuna tyms huwa anammiss x wake, rafiki yangu wifi huyu kuona hvo, akampiga chini jamaa huyu na kurudiana na my bro ambaye siku zote alikuwa analia akiomba msamaha wa wifi yangu huyu bila kujua wifi alikuwa ameshapata kifaa kipya, so wakarudiana tena.
hii leo wifi huyu anakuja hapa akiwa analia kisa my bro amemwambia hana uwezo wa kuoa kwa sasa na hajui ataweza lini wakat mdada alishatoa taarifa home na jamaa mwenyewe alienda kwa akina mdada mwez wa tano mwaka huu na kudai anataka kuoa mwez wa kumi na mbili mwaka huu
mdada anawaza atawaambia nn wazaz, ananiomba ushaur aachane na bro wangu au afanyaje kwan anaona kama anampotezea muda, wamedate 4 4 years, nimshaurije huyu dada.......................

Ukilikoroga lazima ulinywe nyambafu wewe,inaonekana wewe na huyo wifi yako wote ni machangudoa wekundu,hainhii akilini wifi yako anafanya umalaya wewe unamfichia siri eti kwa kuwa ni rafiki yako,bila kakaako ungemjua huyo? adhabu ni hapa hapa dunian ngoja uchezeke kwanza ndo upate fundisho kwan damu ya kakaako i mikonon mwako.
 
wewe una boyfriend?
leo niko na mishe zangu, nashangaa bi mdada huyo
Ni wifi ambaye pia ni rafiki yangu kipenz, kama wiki tatu zilizopita waligombana na kaka yangu ambaye ni mpenz wake, yy akaamua kuachana nae, kwa madai kuwa amaemchoka, ni kweli huyu bi mdada anampenda sana hy my bro na amefanya mengi kwa ajili yake.

kuachana huku kulienda sambamba na kubadilisha namba ya sim, na kujiondoa fb lakini pia na kuanzisha mahusiano mapya na jamaa ambaye alikuwa rafikiye wa kawaida ingawa alikuwa akimtaka siku za nyuma. penz hl jipya likapamba moto so wikend ya wk hyo wakaenda zenj kujipa raha, bi mdada aliporud job j3, rafiki wa mpenzi wake huyu mpya ambaye ni rafikiye pia akamfata kwa ofice na kumwambia kuwa my baby wake ana mawasiliano na x wake( yaan huyo mpenz mpya bado anawasiliana na x gf wake), bi mdada akaamua kumuuliza mwanaume, mwanzon hakukubali ila alipobanwa akakubali kuwa ni kweli kuna tyms huwa anammiss x wake, rafiki yangu wifi huyu kuona hvo, akampiga chini jamaa huyu na kurudiana na my bro ambaye siku zote alikuwa analia akiomba msamaha wa wifi yangu huyu bila kujua wifi alikuwa ameshapata kifaa kipya, so wakarudiana tena.
hii leo wifi huyu anakuja hapa akiwa analia kisa my bro amemwambia hana uwezo wa kuoa kwa sasa na hajui ataweza lini wakat mdada alishatoa taarifa home na jamaa mwenyewe alienda kwa akina mdada mwez wa tano mwaka huu na kudai anataka kuoa mwez wa kumi na mbili mwaka huu
mdada anawaza atawaambia nn wazaz, ananiomba ushaur aachane na bro wangu au afanyaje kwan anaona kama anampotezea muda, wamedate 4 4 years, nimshaurije huyu dada.......................
 
mdada inabidi mtu atulie sana kuelewa huo mkasa kwani bora ungewapa majina bandia na kueza uhusiano wako na hao. Nahisi hapo ingeeleweka kidogo
 
duh mkaka.
una undugu na lucy-inde...........kudadadeki..lol[
Anyway keep talking, may be someday you'll say something intelligent! ish..........QUOTE=Lutu2;4387925]Ukilikoroga lazima ulinywe nyambafu wewe,inaonekana wewe na huyo wifi yako wote ni machangudoa wekundu,hainhii akilini wifi yako anafanya umalaya wewe unamfichia siri eti kwa kuwa ni rafiki yako,bila kakaako ungemjua huyo? adhabu ni hapa hapa dunian ngoja uchezeke kwanza ndo upate fundisho kwan damu ya kakaako i mikonon mwako.[/QUOTE]
 
pole kwa usumbufu mkaka, mekusoma
mdada inabidi mtu atulie sana kuelewa huo mkasa kwani bora ungewapa majina bandia na kueza uhusiano wako na hao. Nahisi hapo ingeeleweka kidogo
 
Back
Top Bottom