Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
- Thread starter
- #41
issue ni kuwa cnc last year november walipanga waone mwaka huu mwez wa 12, so mwaka jana mkaka akmpeleka binti kwao wakamfaham, na huyo mkaka nae mwaka huu mwez wa nne akaenda kwa akina mdada wakamfaham so ikabakia issue ya bro wangu awatume wazaz toka arusha waje dar kuanza hzo prrocess zingine,
ila kabla ya kuja wazaz wa bro wangu wakadai ni mpaka binti abadilishe din, wifi akabadl dini so ikabak kaz ya bro wangu kuwaleta wazaz wake Dar, sasa baada ya huku kuachana na kurudiana ndio bro wangu ghafla anadai hana uwezo wa kuoa kwa sasa na hajui atakuwa nao lin, ndio mdada anaona kapotezewa mda..........
ila kabla ya kuja wazaz wa bro wangu wakadai ni mpaka binti abadilishe din, wifi akabadl dini so ikabak kaz ya bro wangu kuwaleta wazaz wake Dar, sasa baada ya huku kuachana na kurudiana ndio bro wangu ghafla anadai hana uwezo wa kuoa kwa sasa na hajui atakuwa nao lin, ndio mdada anaona kapotezewa mda..........
ndugu mtoa mada kwann huyo bidada yeye anataka ndoa ya vodafasta ama , kama mwanaume kisha mwambia basi asubiri akiwa tayari atamwoa tu , anaonekana ametega mabomu mawili wakati mmoja asa kwani swala la kumwambia mzazi kwamba mchuchu mtarajiwa ishu hazijakaa fresh so ndoa inasogezwa mbele lina ugumu gani "EVery woman has go his man " asa yeye hajiamini cjui , mtaka vyote hukosa vyote