Nimshaurije mie

halaf sasa kama hy anadai hata ndom hatumii anadai inamuumiza, kinachoudh zaid ni kuwa wameanza new relation ndan ya 4 or 5 days kashagawa k,
yaani wanagawa 'k' utadhani wameachiwa na wenzao kuwashikia!
 
yaan mkuu, bro cjui kashitukia nn coz walikuwa waoane mwaka huu mwez wa 12, ndio wakaachana ghafla then wakarudiana, hv toka warudiane hata mwez haujapita na bro wangu ndio aliyekuwa anamwomba wifi warudiane, ila now kibao kimegeuka ni bro wangu anedai hajajiandaa kuoa kwa sasa na hajui ln atakuwa na uwezo huo, so bint analia, nahc kama bro ameshtukia hyo issue, nadhan kuna mtu kamtonya
Huyo binti hamfai kaka yako. Mwambie tu aachane naye na baadae mwambie kaka yako kuhusu huyo binti kuwa na njemba jingine walipoachana.
 
Ni kwel, mdada home kwao mambo safi, na kwa kweli i hate to admit kuwa hyu bro wangu though hajaniambia yuko na mdada kimaslah zaid
from the look of things, inaonekana binti ana pesa ndefu ndiyo maana anabadilisha mijamaa kama mashati wakati kaka mtu yuko 'apeche alolo' ndiyo maana anamng'ang'ania binti..... i stand to be corrected, though
 
halaf sasa kama hy anadai hata ndom hatumii anadai inamuumiza, kinachoudh zaid ni kuwa wameanza new relation ndan ya 4 or 5 days kashagawa k,

hivi Nambe hujawahi kuwa concerned na ukweli kwamba huyo dada anaweza kumwambukiza bro wako ngoma?
 
Last edited by a moderator:
its not a joke, yaani nikiiona tu nashtuka sana halafu mwili unaoata ganzi, plz kama vp ibadili mkuu, nakosa amani hata kusoma post zako vizuri

Hahahahaha......... ngoja nifanye mpango wa kuibadili coz wewe siyo wa kwanza kunambia hivyo!! nimekua nikiambiwa nikajua its just a joke!! kumbe mnamaanisha?!!
 
that z my biggest concern sweetheart, ndio maana nimeomba ushaur pia, coz najiona live namsalit na pia maisha ya my bro yapo hatarin lakn pia nikimwambia bro, namsalit hy bibie na mapenz yao, ila ndio kama hv nahc bro atakuwa amejua coz anadai hana uwezo wa kuoa kwa sasa na hajui atkuwa nao ln, inaonekana ameamua kuacha kiutu uzima, namshukuru Mungu hy bro yupo Rukwa kikaz yle mdada tupo nae hapa Dar so kwa sasa bado hawajado, balaa ni watakaporeconcile kama itawezekana
mpango wangu ulikuwa ni kumshaur tu bro wakapime kabla ya hawajaanza ku do tena,,,,,,
hivi Nambe hujawahi kuwa concerned na ukweli kwamba huyo dada anaweza kumwambukiza bro wako ngoma?
 
Hahahahaha......... ngoja nifanye mpango wa kuibadili coz wewe siyo wa kwanza kunambia hivyo!! nimekua nikiambiwa nikajua its just a joke!! kumbe mnamaanisha?!!

Oh,nilikuwa nadhani ni mm tu kumbe tupo wengi. aisee utakuwa umetusaidiasana my dia ukiibadili.
 
thanx anne maria, heb nijipange kumkabl bro wangu
kaka unampenda kaka yako,, naomba usikubali muunganiko wao na huyu binti mwisho wa siku atamletea UKIMWI,,, na mzigo na gharama za kumuuguza zitakua juu yenu... FIKIRI CHUKUA HATUA.. nawasilisha
 
leo niko na mishe zangu, nashangaa bi mdada huyo
Ni wifi ambaye pia ni rafiki yangu kipenz, kama wiki tatu zilizopita waligombana na kaka yangu ambaye ni mpenz wake, yy akaamua kuachana nae, kwa madai kuwa amaemchoka, ni kweli huyu bi mdada anampenda sana hy my bro na amefanya mengi kwa ajili yake.

kuachana huku kulienda sambamba na kubadilisha namba ya sim, na kujiondoa fb lakini pia na kuanzisha mahusiano mapya na jamaa ambaye alikuwa rafikiye wa kawaida ingawa alikuwa akimtaka siku za nyuma. penz hl jipya likapamba moto so wikend ya wk hyo wakaenda zenj kujipa raha, bi mdada aliporud job j3, rafiki wa mpenzi wake huyu mpya ambaye ni rafikiye pia akamfata kwa ofice na kumwambia kuwa my baby wake ana mawasiliano na x wake( yaan huyo mpenz mpya bado anawasiliana na x gf wake), bi mdada akaamua kumuuliza mwanaume, mwanzon hakukubali ila alipobanwa akakubali kuwa ni kweli kuna tyms huwa anammiss x wake, rafiki yangu wifi huyu kuona hvo, akampiga chini jamaa huyu na kurudiana na my bro ambaye siku zote alikuwa analia akiomba msamaha wa wifi yangu huyu bila kujua wifi alikuwa ameshapata kifaa kipya, so wakarudiana tena.
hii leo wifi huyu anakuja hapa akiwa analia kisa my bro amemwambia hana uwezo wa kuoa kwa sasa na hajui ataweza lini wakat mdada alishatoa taarifa home na jamaa mwenyewe alienda kwa akina mdada mwez wa tano mwaka huu na kudai anataka kuoa mwez wa kumi na mbili mwaka huu
mdada anawaza atawaambia nn wazaz, ananiomba ushaur aachane na bro wangu au afanyaje kwan anaona kama anampotezea muda, wamedate 4 4 years, nimshaurije huyu dada.......................
Hivi kweli wamdate 44 years au hzi ni hadithi za shigongo
 
4(for) 4(four)
umenipata sasa mkuu
Nimekupata kiongozi, sasa huyo sio mvumilivu na hana mapenzi ya kweli kwa kaka yako aliondoka sasa anamerudi inabidi abaki mpaka hapo bro atakapokuwa tayari.
 
leo niko na mishe zangu, nashangaa bi mdada huyo
Ni wifi ambaye pia ni rafiki yangu kipenz, kama wiki tatu zilizopita waligombana na kaka yangu ambaye ni mpenz wake, yy akaamua kuachana nae, kwa madai kuwa amaemchoka, ni kweli huyu bi mdada anampenda sana hy my bro na amefanya mengi kwa ajili yake.

kuachana huku kulienda sambamba na kubadilisha namba ya sim, na kujiondoa fb lakini pia na kuanzisha mahusiano mapya na jamaa ambaye alikuwa rafikiye wa kawaida ingawa alikuwa akimtaka siku za nyuma. penz hl jipya likapamba moto so wikend ya wk hyo wakaenda zenj kujipa raha, bi mdada aliporud job j3, rafiki wa mpenzi wake huyu mpya ambaye ni rafikiye pia akamfata kwa ofice na kumwambia kuwa my baby wake ana mawasiliano na x wake( yaan huyo mpenz mpya bado anawasiliana na x gf wake), bi mdada akaamua kumuuliza mwanaume, mwanzon hakukubali ila alipobanwa akakubali kuwa ni kweli kuna tyms huwa anammiss x wake, rafiki yangu wifi huyu kuona hvo, akampiga chini jamaa huyu na kurudiana na my bro ambaye siku zote alikuwa analia akiomba msamaha wa wifi yangu huyu bila kujua wifi alikuwa ameshapata kifaa kipya, so wakarudiana tena.
hii leo wifi huyu anakuja hapa akiwa analia kisa my bro amemwambia hana uwezo wa kuoa kwa sasa na hajui ataweza lini wakat mdada alishatoa taarifa home na jamaa mwenyewe alienda kwa akina mdada mwez wa tano mwaka huu na kudai anataka kuoa mwez wa kumi na mbili mwaka huu
mdada anawaza atawaambia nn wazaz, ananiomba ushaur aachane na bro wangu au afanyaje kwan anaona kama anampotezea muda, wamedate 4 4 years, nimshaurije huyu dada.......................
ndugu mtoa mada kwann huyo bidada yeye anataka ndoa ya vodafasta ama , kama mwanaume kisha mwambia basi asubiri akiwa tayari atamwoa tu , anaonekana ametega mabomu mawili wakati mmoja asa kwani swala la kumwambia mzazi kwamba mchuchu mtarajiwa ishu hazijakaa fresh so ndoa inasogezwa mbele lina ugumu gani "EVery woman has go his man " asa yeye hajiamini cjui , mtaka vyote hukosa vyote
 
Back
Top Bottom