Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
Ni saa 4 usiku nipo maeneo ya geto kwangu hapa, sasa naishi na jirani yangu ambae aling'oa dogo mmoja wa mwaka wa kwanza udsm, dogo kaja bila taarifa kuspend weekend kwa mchizi, mchizi kafunga mlango wake na geti kabisa, dogo muda mrefu sana anagonga na kupiga simu, na jamaa namjua kwa misimamo hivyo najua hatamfungilia, yani dogo hadi namwonea huruma as ni zaidi ya lisaa limoja tangu saa tatu mpaka muda huu naandika post hii bado anasubiri jamaa amfungulie, mi nasikiliza zangu music na namwona kwa dirishani jinsi dogo anavyotaabika mlangoni kwa mchizi.
Nimsaidieje huyu dem, maana najua jamaa hatafungua, na huku kuna kaumbali, na unaweza kuta hata nauli ya kurudi hostel hana.
Watoto wa chuo mkome kupapatikia watu na kwenda kwa masela kwa kustukiza, yatakukuta.
Nimsaidieje huyu dem, maana najua jamaa hatafungua, na huku kuna kaumbali, na unaweza kuta hata nauli ya kurudi hostel hana.
Watoto wa chuo mkome kupapatikia watu na kwenda kwa masela kwa kustukiza, yatakukuta.