Huku mtaani ninapokaa kuna dada mmoja jirani yangu ameniomba ushauri kuwa jamaa yake hajawahi kumfikisha kileleni toka waanze uhusiano wao miaka 3 iliyopita,nimemuuliza kama jamaa huwa anamuandaa kabla ya game amesema ndio.Ndugu wana jf wenzangu naomba mtoe ushauri kwa huyu dada.
Kaisha mwambia lakini jamaa akamwambia atajitahidi kuongeza mautundu lakini huyu dada anasema hakuna mabadiliko yoyote yaliyotokea mpaka sasa.
Huku mtaani ninapokaa kuna dada mmoja jirani yangu ameniomba ushauri kuwa jamaa yake hajawahi kumfikisha kileleni toka waanze uhusiano wao miaka 3 iliyopita,nimemuuliza kama jamaa huwa anamuandaa kabla ya game amesema ndio.Ndugu wana jf wenzangu naomba mtoe ushauri kwa huyu dada.
Huku mtaani ninapokaa kuna dada mmoja jirani yangu ameniomba ushauri kuwa jamaa yake hajawahi kumfikisha kileleni toka waanze uhusiano wao miaka 3 iliyopita,nimemuuliza kama jamaa huwa anamuandaa kabla ya game amesema ndio.Ndugu wana jf wenzangu naomba mtoe ushauri kwa huyu dada.
Hapana mimi siwezi kula mali za watu hata hivyo mie ninaye wangu ambaye nampenda sana na siwezi kumsaliti,pia vitabu vya dini vinakataza kuwa na tamaa za ngono.