Nimsaidiaje mtu huyu?

Nimsaidiaje mtu huyu?

Nimefatilia comment za wengi humu naona wengi hawajui au hawajawahi kuishi kwa bajeti na nadhani ndio maana watanzania tunaendelea kulalamika kila siku hali ngumu. Tuwe wakweli kama ni watu tunaoishi hapa mjini, uchoyo ni nini? Hv mtu anajiwekea utaratibu wa kila siku anakuja kula kwako anatumia kila kitu chako hv huyo kawa nani mwanao, nduguyo, baba yako au mamayako? Hatukatai mtu kuja kwako kula kwa kipindi fulani haina shida kabisa, mtu mzima ana kipato kama wewe, kama alivyosema mtoa mada anapewa pesa ya matumizi ananunua vibato. Alafu mizigo yake aitue kwangu thubutuuuu, bora niitwe mchoyo. Kuna watu wao pesa zao za maendeleo tu hela ya kula ya kwako period
 
MamaBeata sio kwamba unaogopa zaidi atakuchukulia mumeo?

On a serious note, mwambie tu kiroho safey kwamba sasa ajitegemee kiujumla ikiwepo kujipikia

Hasa hasa kama mume wake ni mdogo wako...duh! atajiiba mwenyewe amsingizie binti wa watu.
MAMA Beata washasema wengi zangu hapa salamu tu!
 
Last edited by a moderator:
mamabeata, maisha magumu bana, kisa cha kuishi bila raha ndani ya nyumba yako? Hebu mpe makavu huyo mtoto kama vipi achangie hela ya msosi kwa mwezi hawezi akapike geto kwake au akale chips kwenye vibanda huko
 
ongea na huyo aliekuomba ukae nae huyo mtoto na pia ikibidi mpe live huyo binti kuwa ndoa yako ni changa aangalie ustaarabu wake maana watoto wa siku hizi balaa ukiwalea siku chache tu unakuwa mke mwenza.
 
mwambie hivi weekend hii tutakuja kula kwako so akae huko apike na mle huko kwake, ha watu hawa wanachosha sana, mi ilikuwa ni ndugu yangu kabisa mtoto wa cousin wangu, alikuja kwangu kutembea akakaa miezi miwili, kisha akapata kazi akiwa kwangu, akaendelea kukaa miezi minne ila ndo hivyo hela yake yake peke yake hanunui hata sabuni ya kufulia nguo zake, na siku nilichelewa kuacha pesa ya mahitaji ndani lol mwenyewe akaenda kula hotelini halafu bint yangu wa kazi akashinda njaa mpka saa kumi nilipoludi,nikaona isiwe tabu nikamtafutia nyumba mbali kabisa na ninakoishi ila karibu na kituo chake cha kazi, nikamwambia nimekutafutia nyumba na nimelipia miezi minne so utakawa uhamie huko hapa si unaona tunabanana, alikubli ki shingo upande tu, akahama, eh akanishangaza tena kila siku jioni anakuja kula home yaani kwake hapiki, nilivyoona kumbe hataki kunua vyombo, nikamwambia week end moja tutaenda kula kwake, basi akanunua vyombo na akapika, since then anajipikia mwenewe na ameshazoea kujitegemea.

marrykate we ndio ulimuweza. Ila afadhali ww alikua ndugu sasa mi huyu sina undugu nae wala nn. Yani hata kama akifanikiwa hawezi kukumbuka ukoo wetu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwanamke mwenye familia. Ndoa yetu ni changa bado. Hivi karibuni nilipata simu kutoka kwa mfanyakazi mwenzangu alieniomba nimsaidie kukaa na mdogo wake kwa siku tatu ili atafute chumba baada ya hapo angeondoka. Cha ajabu yule mtoto alikaa kwa wiki tatu akidai chumba hajapata ingawa haikua kweli vyumba vilikuepo ila yeye alitaka aendelee kukaa hapa kwangu. Nikamvumilia hadi alipoamua kuondoka na hajaenda kukaa mbali na hapa kwangu. Kilichonikera ni jinsi anavyokuja nyumbani kila mara hasa mida ya menu. Najua dada yake anampa hela ila yeye ananunulia viwalo kama mjuavyo wanachuo akitegemea kuangushia kwa mama Beata. Isitoshe mimi nina bajeti zangu nyumbani kwangu akishakuja yeye kila kitu kinaharibika. Mboga niliopanga iwe ya mchana na jioni itaishia mchana. Kingine akitaka kufua nguo, kuoga anakuja hapa kwangu kitu ambacho naona atanivunjia hata ndoa yangu maana huyu sio ndugu na hashindwi kufanya lolote na mume wangu. Hivi kweli kanikera. Naomba mnipe jibu zuri la kumwambia huyu mtoto asiizoee nyumba yangu mimi nilimkaribisha kwa heshima ya dada yake ila naona mazoea yamezidi wema wangu utaniponza. Mnisaidie wadau. Wasalaam, mama Beata


mmmh maman beata hata sijui nianzie wapi,
wengi tunakutana na hayo mambo, sio kwa watu baki tu lakini hata kwa ndugu,
ushauri wangu mimi muangalie na tabia yake kwanza kama ni nzuri, halafu mchukulie kama ndugu japo si ndugu
kama ana tabia nzuri sio mbaya akija mara moja moja, atakusaidia espcially kukupatia habari za wadad wa kazi ambao kwa kweli ni majanga
pia anaweza kukusaidia kazi mabali mabli za nyumbani...anapokula mpangi nza kazi kadhaa za kufanya, mfano akija kufua mpe na nguo zenu afue, aoshe vyombo, apike n.k ilimradi mshughulishe...akiona mwenyewe kazi zimemzonga atakata miguu kuja hapo..
siamini kama kweli chakula cha mtu mmoja ni bg issue sana, naaamini chakula cha watu 3 kinatosha wanne...n.k..

mimi kwangu chakula sio issue kama huyo mtu hana tabia mbaya...tatizo ni tabia, wengine utakuta anakukosanisha na wadada wa kazi au anakusema vibaya, au hasaidii kazi yoyote hapo nyumbani..hapo sawa unamuondoa..
nafikiri ungelichukulia in postive way kuliko negative..halafu huyo ni km mdogo wako unatakiwa umkalishe chini umfundishe hasa kama anachzea hela,
sio mbaya kumsaidia mwanafunzi, mdog wa rafiki yako esp kitu km chakula mi naona very minor issue..
kiukweli mi yaani uchoyo uchoyo wa ugali sinaga kabisaaa....tutakula hicho hicho kilichopo hata km ni dagaa...ila akiniboa kwa matabia yake hapo namuondoa ila chakula tu aleeeeee mpk ashibe
 
mmmh maman beata hata sijui nianzie wapi,
wengi tunakutana na hayo mambo, sio kwa watu baki tu lakini hata kwa ndugu,
ushauri wangu mimi muangalie na tabia yake kwanza kama ni nzuri, halafu mchukulie kama ndugu japo si ndugu
kama ana tabia nzuri sio mbaya akija mara moja moja, atakusaidia espcially kukupatia habari za wadad wa kazi ambao kwa kweli ni majanga
pia anaweza kukusaidia kazi mabali mabli za nyumbani...anapokula mpangi nza kazi kadhaa za kufanya, mfano akija kufua mpe na nguo zenu afue, aoshe vyombo, apike n.k ilimradi mshughulishe...akiona mwenyewe kazi zimemzonga atakata miguu kuja hapo..
siamini kama kweli chakula cha mtu mmoja ni bg issue sana, naaamini chakula cha watu 3 kinatosha wanne...n.k..

mimi kwangu chakula sio issue kama huyo mtu hana tabia mbaya...tatizo ni tabia, wengine utakuta anakukosanisha na wadada wa kazi au anakusema vibaya, au hasaidii kazi yoyote hapo nyumbani..hapo sawa unamuondoa..
nafikiri ungelichukulia in postive way kuliko negative..halafu huyo ni km mdogo wako unatakiwa umkalishe chini umfundishe hasa kama anachzea hela,
sio mbaya kumsaidia mwanafunzi, mdog wa rafiki yako esp kitu km chakula mi naona very minor issue..
kiukweli mi yaani uchoyo uchoyo wa ugali sinaga kabisaaa....tutakula hicho hicho kilichopo hata km ni dagaa...ila akiniboa kwa matabia yake hapo namuondoa ila chakula tu aleeeeee mpk ashibe

kamusi asante kwa ushauri kweli nimeutekeleza leo. Amekuja tulikua hatujamuhesabu kwenye menu ila tumemsihi asiondoke bila kula. Nimeutumia huo muda wa chakula kumshauri awe anapika na kumwambia awe anafulia kwao akasema maji hayatoki ila najua yanatoka maana line ya maji ni moja kwahiyo yakitoka kwangu na kwao yanatoka ila sikutaka kumuumbua. Nikamwambia ruksa kuja kuchota maji ila kufulia ni kwake hukohuko. Naamini kaelewa.
 
Last edited by a moderator:
huyo mtu mmoja kila siku Sista? Tena anataka kulala tu asimsaidie msichana wangu wa kazi? Yani humu ndani tumekua wenye nyumba wawili. Kinachonikera hataki mapishi nayoagiza mimi. Mfano chai huwa napenda iweke tea masala anamwambia dada usiweke bwana mi sipendi. Wali tumezoea kuweka iliki ye anasema ya nn usiweke. Mi mtu wa kunipangia maisha yangu kwenye nyumba yangu simtaki hata ukisema mi mchoyo.

Ha ha ha pole dada yangu. mijitu mingine kweli ni mzigo. mtoe tu asikukoseshe raha nyumbani kwako
 
Last edited by a moderator:
Jamani kwa nn wanawake wanaongoza kwa roho mbaya!?? Just ugali only unaleta JF!!? Mara ooo atanichukulia mume wangu hujiamini? Hayo umeamua kuongezea tu bt da major issue ni ugali (mavi), yaani ww ukikabidhiwa mtoto ambae huna undugu ndani ya mwezi waweza mlisha sumu ili asikuharibie budget Lol! Wa unga robo na nyanya chungu utawajua tu, NB: safisha ndani ya kikombe kabla ya kusafisha nje ya kikombe. Nalog off
 
Jamani kwa nn wanawake wanaongoza kwa roho mbaya!?? Just ugali only unaleta JF!!? Mara ooo atanichukulia mume wangu hujiamini? Hayo umeamua kuongezea tu bt da major issue ni ugali (mavi), yaani ww ukikabidhiwa mtoto ambae huna undugu ndani ya mwezi waweza mlisha sumu ili asikuharibie budget Lol! Wa unga robo na nyanya chungu utawajua tu, NB: safisha ndani ya kikombe kabla ya kusafisha nje ya kikombe. Nalog off

yani we kweli no matter inaelekea ww ndo una tabia kama hizi za kiuwendawazimu. Usolijua litakusumbua mi sio wa unga robo. Usilete dharau kujifanya matawi ya juu utakuwa mzamiaji namba moja. Hivi ningekuwa na roho mbaya ningeishije naye siku zote hizo na ningemkaribishaje kwangu? Tumia akili. Angekuwa na busara angeaga kuwa asante kwa kunitunza siku hizo ili akaendelee na maisha yake sio kugeuza nyumba yangu ghetto la masela eboo.
 
pole sana mamabeata,ila watu wenye hizo tabia ni bora wapigwe tu,ndio tumechoka wapigwe tu mimi sioni sababu ya kuwavumilia wapigwe tu.
 
Jamani kwa nn wanawake wanaongoza kwa roho mbaya!?? Just ugali only unaleta JF!!? Mara ooo atanichukulia mume wangu hujiamini? Hayo umeamua kuongezea tu bt da major issue ni ugali (mavi), yaani ww ukikabidhiwa mtoto ambae huna undugu ndani ya mwezi waweza mlisha sumu ili asikuharibie budget Lol! Wa unga robo na nyanya chungu utawajua tu, NB: safisha ndani ya kikombe kabla ya kusafisha nje ya kikombe. Nalog off

Ngoja nikupashe upashike mtoto wa kike, kwa taarifa yako wa unga robo na nyanya chungu ni wakarimu mno kwenye chakula kuliko hao wa mboga Saba. Uswazini wana maisha ya taabu na dhiki lakini wana upendo wa hali ya juu kuliko uzunguni...
Kama bi Dada mchoyo kwa mujibu wa maelezo yako si sababu ya umaskini alokuwa nao..
 
Ngoja nikupashe upashike mtoto wa kike, kwa taarifa yako wa unga robo na nyanya chungu ni wakarimu mno kwenye chakula kuliko hao wa mboga Saba. Uswazini wana maisha ya taabu na dhiki lakini wana upendo wa hali ya juu kuliko uzunguni...
Kama bi Dada mchoyo kwa mujibu wa maelezo yako si sababu ya umaskini alokuwa nao..

ukisoma ukaelewa utagundua tatizo si uchoyo wala umaskin. Kama watu mngekua wakarimu hivo mnavosema hata watoto wa mitaani wasingekuepo wote wangeshachuliwa majumbani kwenu muwalishe hayo mnayoyaita mavi (ugali).
 
Mama beta wadau wameshauri na wakaelekeza naamin kuna vitu umepata kupitia michango ya wadau. Je umeshachukua hatua yoyote kwa mhusika?
 
Mama beta wadau wameshauri na wakaelekeza naamin kuna vitu umepata kupitia michango ya wadau. Je umeshachukua hatua yoyote kwa mhusika?

BPM nimechukua hatua nilimweleza kiustaarabu nahisi kanielewa. Thanx for ur concern BPM
 
Last edited by a moderator:
Mamabeata. Futa kauli ya kusema wewe sio mchoyo vinginevyo mwache aendelee kuja hapo mpaka amchukue hata mumeo. Hata ndugu yako wa kuzaliwa lazima awe na mipaka nyumbani kwako, hapa duniani hakuna uhuru usiokuwa na mipaka. Mkalishe chini umwambie masharti ya kufika nyumbani kwako na mengine yote yanayostahili.
 
asante Gefu kweli hata wahenga walisema wema usizidi uwezo. Kiukweli nimemchoka naona anamuaibisha dada yake kwa hizi tabia zake yani vituko vyake vinachefua. Akifika anataka apikiwe hata dada wa kazi hataki kumsaidia kuosha vyombo anadai ye kwao hafanyagi kazi!

dada....hapo kinakushinda nini? fukuzia mbali.....mwambie dadake humtaki mdogo wake kwako....hasaidii chochote.... na isitoshe una bajeti yako.... angalizo beata.... mumeo c amekaa kimya? anaangalia msimamo wako....we muweke tu... atambandua ndo utajuta....
 
mimi mtu akiwa ni mama mwenye nyumba thn akashindwa kusimama kama mama wa mji ananikera!
UNALALAMIKA badala ya kutenda?
humtaki hapo nyumbani kwako,TELL HER !over!
mambo ya kujiumiza umiza moyo na makitu hata hayapaswi kukuumiza moyo ya nini!?
huu NI UNAFIK'!
 
Back
Top Bottom