Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 332
Kama unaogopa kumwambia live basi time will tell siku akiwa anakuja na rafiki zake ndipo utajua cha kufanya! nikikusoma katikati ya mistari nakuona kama ni mtu ambaye sio mkweli kwa watu, yani unacheka hata kama moyo haukurusu kufanya hivyo, ulipoanza kukaa nae ulikuwa unaficha tabia yako halisi ili dadake asikuone kuwa wewe ni mchoyo, kwa sababu unaogopa kumwambia ukweli wewe ni mchoyo ila hutaki kujulikana tu na sifa kubwa ya wachoyo ni kuwachangamkia watu harafu mbeleni wanawageuka!! Jaribu kubadilika kwanza mwambie kivitendo kabla ya kumwambia kwa maneno endapo hataelewa kivitendo . lakini pia jaribu kumwambia hata huyo dada yake ajue kuwa mdogo wake hatumii pesa ipasavyo, na utakuwa umemsaidia sana, binafsi huwa siogopi kumwambia mtu ukweli kwani naona kama namuacha mtu afe huku namuona,ukimweleza ukweli hatarudia na wala hatajisikia vibaya kwani anajua kwamba anafanya makusudi.