Nimsaidiaje huyu mwenzangu?

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Dec 8, 2015
1,397
3,492
Habari za weekend wakuu...
nimepata demu mpya tupo kwenye mahusiano miezi miwili sasa, mtoto mashalaah, sura ipo, rangi anayo, shepu ndio usiseme kwa kifupi mungu amemjaalia sana na hata tabia ametulia kwa ujumla.

sasa pamoja na sifa kemkem nilizozitaja hapo juu, kizuri hakikosi kasoro kwani mwenzangu huyu nashindwa kumuelewa linapokuja suala la gemu, kwani tunapokuwa faragha mchezo ukiwa umechanganya haswa, mwenzangu huyu huanza kuachia mabomu mfululizo tena yale ya nyuklia ( Anajamba mno tena kunakotukuka ) mbaya zaidi ushuzi wake huja na harufu mbaya mnoo yaani kama sio ujasiri na uvumilivu unaweza ukacha kuendelea na gemu.

Mwanzoni jambo hili nililichukulia kawaida ila sasa limenikifu kwani sina raha na gemu kila nikifikiria mchezo inanijia harufu ya mabomu. Wakuu nisaidieni jinsi ya kutatua tatizo la mwenzangu kwani nampenda sana na sipendi kumuacha...
 
hu
Habari za weekend wakuu...
nimepata demu mpya tupo kwenye mahusiano miezi miwili sasa, mtoto mashalaah, sura ipo, rangi anayo, shepu ndio usiseme kwa kifupi mungu amemjaalia sana na hata tabia ametulia kwa ujumla.

sasa pamoja na sifa kemkem nilizozitaja hapo juu, kizuri hakikosi kasoro kwani mwenzangu huyu nashindwa kumuelewa linapokuja suala la gemu, kwani tunapokuwa faragha mchezo ukiwa umechanganya haswa, mwenzangu huyu huanza kuachia mabomu mfululizo tena yale ya nyuklia ( Anajamba mno tena kunakotukuka ) mbaya zaidi ushuzi wake huja na harufu mbaya mnoo yaani kama sio ujasiri na uvumilivu unaweza ukacha kuendelea na gemu.

Mwanzoni jambo hili nililichukulia kawaida ila sasa limenikifu kwani sina raha na gemu kila nikifikiria mchezo inanijia harufu ya mabomu. Wakuu nisaidieni jinsi ya kutatua tatizo la mwenzangu kwani nampenda sana na sipendi kumuacha...
yo alishazoeaga michezo ya mlango a pili...muulize vizuri huyo
 
Unatakaje ushauri kabla haujamueleza ukweli na nia ya kumsaidia?upuuzi huu.
 
Mwambie aachee Hiyo Tabia...
Aache kula maharage na mchanganyiko Wa vyakulaa MF mayai ya kuchemsha mahind ya kuchoma....maembe..
 
Hahahahahaha! Samahan mkuu! Huwa ni ule ushuzi wa sauti au wa yusuuufuu!! Watu mnavituko!! Kweli kizuri hakikosi kasoro loh!! kwani umeshawahi kuongea naye juu ya hilo?pengne mwenzio ndio raaha yake we waona kero khaaa!! Em ongea naye kwanza!
 
aiseeee kuna watu mna bahati mno ila mnashindwa kuzitumia roho imeniuma mno maana natumia gharama nyingi kweli kweli kupata hayo mambo...kuna wengine wanaonga mpaka magari ili wayapate. .

Kula 0713 kaka usichelewe huyo ndio michezo yake na kishaharibika kitambo huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom