Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Nimesikia kupitia magazeti kwamba Nimrod Mkono (Mbunge wa Musoma Vijijini - CCM), akisema kwamba ameshtushwa na taarifa kupitia vyombo vya habari kwamba jina lake limeenguliwa toka katika watu wanaogombea Uenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi. Amesema kama kweli jina lake limeenguliwa basi CCM patakuwa hapatoshi.
Hivi CCM niliyokuwa naijua imefikia kiasi cha kutishwa kiasi hicho na wanachama wake? Kweli CCM imekuwa kama kambale: Baba sharubu, mama sharubu na watoto sharubu.
Mkuu Mchambuzi CCM imefikia hatua ya kutishwa na kila mtu. Watishaji wana moral authority kweli ya kuitisha CCM au ndio kusema CCM imekosa watu wenye moral authority ya kukemea?
Hivi CCM niliyokuwa naijua imefikia kiasi cha kutishwa kiasi hicho na wanachama wake? Kweli CCM imekuwa kama kambale: Baba sharubu, mama sharubu na watoto sharubu.
Mkuu Mchambuzi CCM imefikia hatua ya kutishwa na kila mtu. Watishaji wana moral authority kweli ya kuitisha CCM au ndio kusema CCM imekosa watu wenye moral authority ya kukemea?