Nimpigie Au nimkaushie ??

Chibudee

JF-Expert Member
Dec 28, 2016
1,775
2,404
340950f76fcdbd9644f6b34fb75f5d9c.jpg

Nilikutana naye kwenye daladala nikavutiwa nae tukabadilishana namba za simu, kutokana na ubize wa kazi nikajikuta wiki imepita bila kumpigia wala yeye hakunipigia. Asubuhi moja naamka nakutana na ujumbe huu kutoka kwake; "Hivi namba yangu ulichukua ya maonyesho au?"

Je nimpigie au nikaushe?
 
340950f76fcdbd9644f6b34fb75f5d9c.jpg

Nilikutana naye kwenye daladala nikavutiwa nae tukabadilishana namba za simu, kutokana na ubize wa kazi nikajikuta wiki imepita bila kumpigia wala yeye hakunipigia. Asubuhi moja naamka nakutana na ujumbe huu kutoka kwake; "Hivi namba yangu ulichukua ya maonyesho au?"

Je nimpigie au nikaushe?

Wavulana wa Dar bwana, bure tu!
 
Back
Top Bottom