Nimpendaye amenisaliti, sielewi nifanyeje!

Nimpendaye amenisaliti, sielewi nifanyeje!

Pole sana mkuu mm nakushauri usiweke tumaini kwa yeyote hapa duniani, utakua huru muda wote kuliko kumpa mtu tumaini mwishowe anakuja kukupa kilema cha maisha... Mioyo ya wengi wenye upendo wa kweli inavuja damu sema siku zinaenda tuu!

Of course hutakua na furaha maishani ila kwangu mm ni bora zaid. Ni bora kukosa kitu kabisa kuliko kuishi na kitu kwa mashaka.
Wengi wamefikia kujiua kabisa... kwa hali hii mm sitarajii chochote kwa kweli hapa duniani hata kama namkosea Mungu poa tuu nitabeba msalaba wangu mwenyewe sikupenda lakini.

Mungu akutangulie.
 
Nashukuru sana wakuu kwa ushauri wenu...90% mmenishauri kitu nilichokuwa pia nakifikiria.... Idumu JF
 
kasikilize mapenzi jeneza ukunywe maji mengi moyo uelee alafu wachana na hiyo demu.
 
je una uwezo wa kumucha ??
kama kweli anakupenda je angeruhusu huyo mtu ashike simu yake wakati wewe unapiga ?
kiufupi huyo mwanamke hakupendi

kuchepuka ni jambo moja ila mpaka unamruhusu mtu ashike simu yako ina maana yeyote atakayepiga simu yake ruhksa kupokea hata kama ni babaake

mimi michepuko yangu nawaambia simu yangu ikiita usipokee ili kulinda meno yako
Hahahahahahah wacha wee
 
Mwanaume hutakiw kukosa cha kufanya in case kama hyo ukishindwa kumute mfate mpe kichapo nyang'anya hadi ndala afu tafuta demu mkali mbna wengi
 
Aiseeeee.

Blacks are the architects of their own problems.
 
MKUU, MWANAMKE AKISALITI HAACHI ATABADLI MBNU.. HUMU JF WAKO WENG WANATAFUTA NDOA
 
Achana nae,jikeep busy always kumbuka mabaya alokufanyia na sio mazuri alofanya smple utamsahau utaendelea na yako,but usijiingize kene mahusiano mapya kwa haraka jipe muda
 
Mwambie aache kazi aje muendelee. Akija mwambie hatufanyi mpaka nikupime ngoma mara 3 ndani ya miezi 3 baada ya miezi 2 MWAMBIE NIMEJARIBU TURUDIANE NIMESHINDWA ONDOKA TU SIKUWEZI.

Atakuwa amepoteza kazi akatafute upya na kila akizuruza kutafuta kibarua atawahadithia wanawake wengine waache usaliti itasaidia jamii.
 
Back
Top Bottom