supercharger GT
JF-Expert Member
- Sep 18, 2014
- 1,023
- 1,979
[emoji3][emoji3][emoji91]
Ushauri mzuriSikikiza rafikiiii
Navumilia vingi vitimbiii
Moyoni bado anaishiiiii
Ila amejaa usalitiiiii
Aliondoka nikabaki pekeeee yanguuu
Huku nyuma nikalia na moyo wanguuuuuuu
Haikupita hata mwezi
Alipokosa furaha akarudiiiiii
Ameshachora natatuuuuuuu
Jina LA mpenzi wake mdanganyiiii
Lakini bado nilimpa moyo wanguuuuuuuuuuuuuu
Nikiamini kua nifunguuuuu languuuuuuuu Nilopangiwa..
Haya nimaneno ya Amin baada ya kukimbiwa na MTU wake !!... Unahisi Amini siku demu alivyorudi ,angefikiria juu ya kugegedwa mara ngapi ,Angemkubali huyu demu ?? Nakumpa nafasi ya pili?.
wakati fulan ,tunaumizwa na Watu tunaowapenda sana , ila je yale tunayoyafanya sisi nisahihi ?. Ujue nn mkuu , UMBALI UNAUA MAPENZI ,, moja ya Uzi Wangu niliandika ivi *Mwanamme usithubutu kufanya kosa hili LA Adamu* .. Adamu asingeenda mbali na Hawa , Ivi shetan angeanzia wapi ???. Umbali ,umbali Wa kimwili ,kiroho Vinaua Mapenzi.
Niivi , kumsamehe alafu akaendelea kua mbali ,ujue ataendelea kuliwa tuuu ,,, ameliwa sababu ya nyege ,ujue hawa sio km sisi wanaume ,, nyege zikiwapanda wanachohitaji ni sex tu hata km house boy , atamla tu aseee. Lkn pia bado hauwezi kua na amani juu yake .
Nini ufanye ,,, Nilazima uwekeze kile unachoweza kumudu kukipoteza ..
Unampenda una malengo naye ??? Kama ndio Msamehe lkn hakikisha unakaa naye , nakama hutokaa naye Jifanye umemwamini tu alafu Fuata kanuni za kuwasiliana nampenzi Wa mbali .
Kama huna ndoto naye Achana naye ,usijipe stress , wanawake wahivyo huwa nikumwacha mwenyewe ajue kosa lake ,mwenyewe arudiiiii , Sio wewe ndo uhangaike ,Utajikuta unakufa Mapema !!.
Mwisho wenda unampenda au humpendi , lazima umwonyeshe kua umechukuzwa na kitendo chake tena umuonyeshe kwa vitendo ndo atajifunza usifanye kosa la kumsamehe within 48 hrs na ukitaka kumunyoosha , tengeneza mazingira ya kuonekana hujawahi msamehe ,nasiku utakayoona sasa anafaa kusameheka utamsamehe.
Mimi bado naendelea kujifunza kupitia kwenu sijaoa !!.
Haya mambo ya kuhudumia mtu hata hujachumbia kisa mpenzi si mazuri kabisa.Vijana mna kazi ya ziada tafuta mwanamke oa uishi nae mjenge familia iliyo imara, achana na hizo habari za vidampa sijui viko mgodini wapi huko ww upo unahudumia tu hata hueleweki.
Kama mwanaume kuna wakati unatakiwa kujitambua ufanye mambo ya msingi kwa maisha yako na familia yako mwanamke anaekupenda kwanza hawezi kumvulia chuppi mwanaume mwingine akapanua miguu yake akakubali kutiwa hovyo hovyo tu.
Hapo keshakuona wewe mbwiga tu sema unajua sana kutoa matunzo na kuwezesha maisha yake na ndio sababu anakuomba sana msiachane lakini ukweli ni kwamba hata ukikubali aje muishi wote huko ulipo tabia hiyo hatoiacha ataendelea kugongwa tu kama hana akili nzuri vile. Mambo mengine hutokea ili iwe funzo kwa mtu.
Imagine simu kaipokea mwanaume mwenzio na si ajabu kakesha kinenani mwa mwanamke unaedai mpenzio wanatusuana mwanzo mwisho na mitusi juu yako - kitanda umewanunulia na si ajabu unawalisha pia shtuka mwanaume ohoooo!
hahaaaa