wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,386
- 29,032
Najua kufa ni lazma lakini wakati mwingine ukituliza akili ukaona /tizama kwa mwenye uelewa hakuna anaependa kifo.
Lakini kuna mda unawaza au hiki kifo kwa nini kimekuwepo ukiangalia ndugu jamaa marafiki waliokuwwa wako au kipindi unazika ukaqangalia marehemu alafu ukawaz ipo siku na wewe utakuwa kama wewe au ukawaza hivi mtu akifa anajisikiaje au huko aendako kukoje au anafanywa nini inauma sana, hapa ndio panakofikirisha zaidi.
Nifanyeje nisife!!!
Lakini kuna mda unawaza au hiki kifo kwa nini kimekuwepo ukiangalia ndugu jamaa marafiki waliokuwwa wako au kipindi unazika ukaqangalia marehemu alafu ukawaz ipo siku na wewe utakuwa kama wewe au ukawaza hivi mtu akifa anajisikiaje au huko aendako kukoje au anafanywa nini inauma sana, hapa ndio panakofikirisha zaidi.
Nifanyeje nisife!!!