claramasawe
Member
- May 16, 2020
- 37
- 40
Habari za wakati huu
Napenda kufahamu jambo moja kutoka kwa watu wenye uzoefu kwenye biashara
Kuna jamaa mmoja anataka nimpe risiti ya EFD lakini kiujalisia kazi hajanipa (yani sijafanya kazi yoyote
Masharti anilipe 18% ya hiyo pesa ninayompa risiti ni pesa ndefu karibia 10 m.
Je, hapa kiuchumi ipoje haiwezi kuja niletea shidana TRA?
Napenda kufahamu jambo moja kutoka kwa watu wenye uzoefu kwenye biashara
Kuna jamaa mmoja anataka nimpe risiti ya EFD lakini kiujalisia kazi hajanipa (yani sijafanya kazi yoyote
Masharti anilipe 18% ya hiyo pesa ninayompa risiti ni pesa ndefu karibia 10 m.
Je, hapa kiuchumi ipoje haiwezi kuja niletea shidana TRA?