Kakutenda nini!
Aisee!
Huenda mengi ikawa kweli lakini No7 nina mashaka nayo! itawezekanaje?
Mke wake mmoja kanipora mimi..
Mke wake mmoja kanipora mimi..
Mkuu Nali, hayo uliyoyasema yanaweza kuwa kweli, ila mengine comon sense knowledge haikubali, haiwezekani mtu mwenye ng'ombe 4,000 na wake 5 akawa hana nyumba ya kisasa!.
Kwa upande wangu namfahamu kwa upayukaji ili kichwani hamna kitu kabisa ni empty!.
Ukifuatilia kauli zake kwenye mjadala wa richmond, utakubaliana na mimi jamaa ni sifuri kabisa kichwani!. Mwanzo alikuwa mkali sana, akajitanabaisha yeye ni miongoni mwa wabunge wapambanaji. Ile siku Spika Sitta anameza matapishi yake pale bungeni alipofunika kombe mwanaharamu apite, ni Mhe. Ole Sendeka huyu huyu ndie mbunge pekee aliyesimama kuchangia na kuunga mkono hoja!.
Aisee!
Huenda mengi ikawa kweli lakini No7 nina mashaka nayo! itawezekanaje?
wana jf,
nimjuavyo mbunge wa simanjiro mh. Christopher olonyokie olesendeka:
3. Alipata division 0 (zero) form six
...........endelea ikawaje akarudi kusaga ng`ombe na mbuzi au akalobby kuingia chuo kikuu!!
tuwekee cv yake.................
6. Ana wake watano, mmoja amemkimbia
,,,,,,,,,,,,,ina maana walikuwa sita baada ya kundoka mmoja ndo wakabaki 5!
;;;;;;;;;;;au walikuwa watano sasa wamebaki 4??
----------ana watoto wangapi??????
Ugomvi wake na ole milya una uhusiano wowote na wanawake??
14. Mwaribifu wa ndoa za watu, na hupenza mabinti wadogo wadogo hasa vitoto vya shule!!!
<<<<<<<<<hatari :nerd:>>>>>>>>>>>>...
tupe majibu walau tujiridhishe