Nimjibu vipi anielewe?

Naomba namba ya huyo msichana nimwambie badala yako
 
kaa kimya. ulimtongoza kakataaa sasa unataka uanze kujitetetea ili iweje. bado unampenda????
 
Mwambie mimi na wewe si mtu na kaka yake
 

Kati ya huyo binti wa mwanzo na huyo uliyenaye yupi unampenda zaidi???.
 
Ulitaka akijibu harak?alivyo kukatalia ulitakiwa kuvuta subra sasa wewe ulikurupuka hataingekua mm ningejua hukunipenda ungempenda kweli usinge tongoza mwingine ungeendelea kumsumbuwa.
 
Ulitaka akijibu harak?alivyo kukatalia ulitakiwa kuvuta subra sasa wewe ulikurupuka hataingekua mm ningejua hukunipenda ungempenda kweli usinge tongoza mwingine ungeendelea kumsumbuwa.
Time factor ni muhimu kuzingatiwa. Wa kwanza alikuwa mzito kutoa maamuzi kwa hasara yake. Ushauri ni kuwa kijana asirudi nyuma, atajiletea mikosi

Amen
 
Time factor ni muhimu kuzingatiwa. Wa kwanza alikuwa mzito kutoa maamuzi kwa hasara yake. Ushauri ni kuwa kijana asirudi nyuma, atajiletea mikosi

Amen

nashukuru kwa ushauri wako mkuu!
 
Ila jamani, sasa kama hapo unauliza nini, au unamtaka na huyo tena, unataka wadau wakupe tiketi. Mwambie picha umeitoa ktk profile ya mpenzi wangu, na wewe nilikupenda lakini hukunitaka, hivyo huna nafasi kwangu tena, utabaki kuwa kama dada yangu tu, sawasawa na vile ulivyonambia kipindi tunasoma, kuwa umenizoea mimi kama kaka yako.
 
ulisoma chuo gan?
ulipata GPA ya ngapi?
nina mashaka na elimu yako. yan hiyo nshu ndio ya kuleta hapa?

nenda kwenye jukwaa la elimu ndo umuulize hivyo
 
Search your heart. The answer lies in you.

What do you want. From there you will know what to do.
 
khaaaaaaaaaaaa mjibu hivi "pruuuuuuuuuuu praaaaaaaa aga woyi woyi woyo woyo" halafu mwambie oyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…