Nimfanyenini huyu mwanamke?

Nimfanyenini huyu mwanamke?

Siku nyingine hutarudia tena kunyatia nyatia..
Kibonge mwenzangu heko uko uliko
Sister nilitegemea utanipa pole.. Sasa Kaka yako nikiuliwa unafikiri utampata Kaka mwengine Kama mimi..?
Kuwa kibonge haimaanishi msiwe romantic jitahidini..

Halafu sister Kuna totoz moja nimeimind hapa ila naogopa kumfata!.. nifanyie wepesi umwambie hisia zangu kuwa nimempenda!.. mwambie nataka niwe wake wa maisha!..
Ni huyu shunie ndo nimempenda! Nisaidie dada pls.....
una ufala mwingi mkuu... Hahahaa
Ipo siku yatakukuta tu ndo utajua niufala au niupala!
Mpige mambo kisawa sawa mkuu mpaka maji aite maa, adabu itakuja automatic afu uje nishukuru badae
Mambo mbona si jambo lakuuliza!.. chobonge nampa mambo si tu maji anaita mma no bali uji anaita wine mkuu! Tatizo huyu chibonge hayupo romantic!
 
Duh!!
Unaendeleaje Kwa sasa?
Sikulala kisawasawa mkuu ndoto ya lile tukio zilinitawala!.. nimeota vibonge wengiii walikuwa na miiko ina ujiuji wamenizunguka wengine wakawa wanairamba miiko kabla ya kuanza kunipiga!.. ila nashukuru ile ndo wanataka kuanza kunipiga nikajishtua niliona nitakufa!.. sipendagi ujinga mimi na huyu kibonge nimeshamfukuza!.. japo kanitext ati leo arudi anipikie nimemwambia asirudi Tena!.. amenitishia ati nitaona!!.. sijui nimrudishe! Maana dah hiyo nitaona sijui itakuwaje tu..?
Nahofia Mara hii asije nivizia na frampeni tu..!
 
mi hadi leo nimekoma kumsuprise mwanamke kwa kumtekenya!!dem wng siku hiyo nilimfanyia hivyo kwa kumgusa tuu mbavuni hiyo kofi alinipatia sitasahau na kulikuwa na watu wengi pale nikawa najichekesha tuu kuua noma!stim zote ziliruka tulinuniana siku 3
Hahahahhahha
 
Mkuu vipi mlishapatana Tena..? Au ndo ulimuacha..??
Mpunguze hasira!.. huo ubonge wenu sio kigezo cha kujiona kina matumla!.. jitahidini muwe romantic..
Kama hapo nilipomtekenya ilitakiwa ashtuke kidogo halafu aniite jina langu huku akitia tumaneno mfano "kilamba mwiko achabasi" huku akitabasam.. hapo siku ingeisha vizuri tu..
He he hatunaga hizo sisi
 
Sister nilitegemea utanipa pole.. Sasa Kaka yako nikiuliwa unafikiri utampata Kaka mwengine Kama mimi..?
Kuwa kibonge haimaanishi msiwe romantic jitahidini..

Halafu sister Kuna totoz moja nimeimind hapa ila naogopa kumfata!.. nifanyie wepesi umwambie hisia zangu kuwa nimempenda!.. mwambie nataka niwe wake wa maisha!..
Ni huyu shunie ndo nimempenda! Nisaidie dada pls.....
Ipo siku yatakukuta tu ndo utajua niufala au niupala!
Mambo mbona si jambo lakuuliza!.. chobonge nampa mambo si tu maji anaita mma no bali uji anaita wine mkuu! Tatizo huyu chibonge hayupo romantic!
Mimi huyu sasa mbona mimi ndio sina mchezo kabisa bora huyo
 
Mimi huyu sasa mbona mimi ndio sina mchezo kabisa bora huyo
Tutawezana tu mama uzuri hakuna mkate mgumu mbele ya chai..
Shunie mwenzio nakupenda haswa nifanyie wepesi nisiteseke na hizi hisia juu yako!.. njoo tupeane mahaba tuvijaze vibaba sweetie..😉
 
Ni chibonge hivi ila mzuri. Leo nilimkaribisha apike tule, tunywe baadaye tufanye. Sasa wakati anapika mi nilikuwa sebuleni nimetulia Niko nalipensi langu la kupungia upepo huku nikiwa kifua wazi.. nikaona isiwe tabu nikamfata hukohuko jikoni ili tuzungumze kidogo n.k

Nilikuwa na glass ya juisi cola nikaibebelea moja kwa moja mpk jikoni.. ye hakuniona nikaenda nanyata kimahaba! Mpk nikamfikia hajashituka si nikamtekenya!

Asalalee vibonge nyie ni wauwaji!.. hata hajageuka wala nini kabebelea limwiko ambalo lilikuwa kwenye ujiuji wa ugali unaotokota!.. ile narudi nyuma huku nikitabasamu ghafla nikashangaa limwiko lenye miuji ya moto linatua kwenye kakitambi kangu ka minyoo!! Komamanga wa watu nikatoa ukelele mpk masikio yangu mwenyewe yakaanza kulia nzwiiii

Hilo halikutosha wakati nakimbia ile nageuka tu nimemuachia mgongo nikasikia pigo jengine la mwiko katikati ya mgongo!!.. sikuwahi kujua kuwa ninauwezo wa kujikunja mithiri ya nyoka!.. na pia sikuwahi kujua kuwa ninamikono mirefu inayoweza kushika mgongo kwa mipapaso ya kujikamua Kama unavyoweza kukamua nguo!! Tabu haikuwa mwiko tu tabu ilikuwa ule ujiuji wamoto! Ndugu zanguni nilianguka nikaanza garagara kama kambare wa hamida!.. nashukuru ule mpensi wangu walau ulinisitiri!

Yule chibonge alibaki akinitazama tu nilivyokuwa nikigaragara hovyo! nisiwachoshe alibaki kazubaa tu baada ya dk moja nikaamka nimefura huku nimetapakaa juisi kola maana ilimwagika.

Nilichomfanya nilimkamata nikamfunga kamba nimemuweka reserve najitibu kwanza majeraha.. Sasa chaajabu haombi msamaha nilijaribu kumtia vibao kadhaa akawa anapiga kelele mpk nikawa naona kidaka tonge mdomoni mwake!. Na sio kukiona tu kilikuwa mpk kinatikisika!..

Nipeni ushauri nimfanye nini huyu chibonge maana kaniharibia weekend? Nataka adhabu murua ili nimrudishe kwenye mstari.
chai bila sukari
 
Sikulala kisawasawa mkuu ndoto ya lile tukio zilinitawala!.. nimeota vibonge wengiii walikuwa na miiko ina ujiuji wamenizunguka wengine wakawa wanairamba miiko kabla ya kuanza kunipiga!.. ila nashukuru ile ndo wanataka kuanza kunipiga nikajishtua niliona nitakufa!.. sipendagi ujinga mimi na huyu kibonge nimeshamfukuza!.. japo kanitext ati leo arudi anipikie nimemwambia asirudi Tena!.. amenitishia ati nitaona!!.. sijui nimrudishe! Maana dah hiyo nitaona sijui itakuwaje tu..?
Nahofia Mara hii asije nivizia na frampeni tu..!
Ha ha ha ha,, Pole sana
 
alikushtua na libukta lako ulijiandaa kutafuna mzigo kilaini.
 
Back
Top Bottom