Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,822
Pouwa TU....Mkuuu huyu chibonge mwenzangu alitaka kukurestisha in peaceMambo mrembo..?
Pouwa TU....Mkuuu huyu chibonge mwenzangu alitaka kukurestisha in peaceMambo mrembo..?
Hebu tuone hapo ulipopigwa na mwiko hapakos alamaHujui wewe! Mkuu nilivyoanguka mpk nilitoa mkojo wa ulipo tupo halafu we unasema chai..!
Nakilo zakutosha...Sasa sijui Kama nshafikia ubongeNdo hivyo lkn kashindwa.. nilianza Hadi kukumbuka wali tulioahidiwa na chauma!..
Vipi nawe ni chibonge..?
Yaani uko tofauti sana mkuu, wengine kwenye nyuzi zao utasikia wine, sijui whiskey mara Savannah n.kNdo kinywaji pendwa..



Hayo mengine nikinywa huwa naota Mara nimekabwa especially wine ndo kabisa huwa naota nakojoa!.. Sasa guess huwa kinatokea nini..!Yaani uko tofauti sana mkuu, wengine kwenye nyuzi zao utasikia wine, sijui whiskey mara Savannah n.k
Ila wewe juisi kola tu![]()
Halafu haina gharama kabisa sh 100 au mia mbili unapata glass zako kadhaaHayo mengine nikinywa huwa naota Mara nimekabwa especially wine ndo kabisa huwa naota nakojoa!.. Sasa guess huwa kinatokea nini..!
Juisi cola yenyewe hainipi tabu




una ufala mwingi mkuu... Hahahaa😂😂 Mkuu vipi mlishapatana Tena..? Au ndo ulimuacha..??mi hadi leo nimekoma kumsuprise mwanamke kwa kumtekenya!!dem wng siku hiyo nilimfanyia hivyo kwa kumgusa tuu mbavuni hiyo kofi alinipatia sitasahau na kulikuwa na watu wengi pale nikawa najichekesha tuu kuua noma!stim zote ziliruka tulinuniana siku 3
Mpunguze hasira!.. huo ubonge wenu sio kigezo cha kujiona kina matumla!.. jitahidini muwe romantic..😉Acha nicheke kwanza nimalize kwa hiyo unataka kusemaje sasa kuhusu sisi vibonge