Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Ndugu wana jf. Mimi nina rafiki yangu wa kike ambaye kimsingi ninampenda sana. Ni mwanamke anayejiheshimu sana japo kwa siku za hivi karibuni amekuwa na mapozi sana. Tangu nimekuwa naye kwenye mahusiano ( mwaka 1 ss) sijawahi kumchakachua kwa kuwa nina malengo makubwa zaidi ya kuwa mke wangu. Kutokana na tabia inayojitokeza ya kuanza mapozi imenifanya nitamani kubandua. I know from religious point of view that sex before marriage is both immoral and spiritually destructive, but with regard to the current social context where nearly everything is upsidedown and vice versa, je itakuwa sahihi mimi nikimchakachua ukizingatie nia yangu ya kumuoa huyu mwanamke?
Naombeni ushauri
GZ
Naombeni ushauri
GZ