Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Imegeuka kuwa wimbo sijui ni dharau au nini, maranyingi huwa namueleza kuchukizwa kwangu na tabia ya kulala amevaa pichu ila haelewi. Nimfanye nini aache hii tabia ya kipumbavu?
Unataka alale uchi au avae ovaroli?
 
Mkuu..nenda kwa kungwi wake kamweleza juu ya huo utata atakupa somo..!
 
Hiyo si kazi bana!!!unatakiwa uwe romantic bana!!...
Tena umvue kwa mdomo lol

mmh amu kweli mdomo kwenye kyupi cha mtu mzima? Na wewe unaonekana msumbufu kama huyu wifi yako
 
Last edited by a moderator:
sophyl na wewe unamfanyiaga mmeo hii tabia ya kipumbaf?

Sio kila siku unaingiza tu lain kweny simu kirahis hvyo! Kumtoa pichu napo ina raha yake banaa, ila usitoe kama mna ugomvi....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom