Nimfanyaje huyu?

Nimfanyaje huyu?

Au nikupe story ya hassan😂😂😂😂

Oyaa weee oyaaa weeee🎶🎶🎶
Foshizo shika shika. Weeeeeeeeh🎶🎶🎶

Oyaa wahuni niwape story ya hassan,
Oyaa wahuni niwape story ya hassan,
🎶🎶🎶
Hassan huyu huyu hassan mtoto wa jirani,🎶🎶🎶

Juzi kati kafumwa na mke wa jirani,
Kufa au kubakwa kaulizwa achague nini,🎶🎶🎶

Hassani amepona nauliza amefanywa nini.......🎶🎶🎶🎶🎶
Jibu ni A😂😂
 
My focus ,kabla ya mwaka hujaisha nipate malipo yangu ,nahitaji mbinu tu,kwa sababu hata nikimwitaji atakuja tu
Mbinu ni kukubali kuwa mchepuko na kumchezea mpaka ashike mimba yako alafu unakaza fuvu kumkataa ili akung'ang'anie.

Mademu za watu ndiyo tuna ibaga hivyo kijanja
 
Usikate moto dingilaii😂😂
Screenshot_20231228_111551_WhatsApp.jpg
 
Unataka kuoa mwanamke ambaye hana akili kiasi hicho ili ugundue nini mzee, hauoni kama huyo mtu ni tatizo?
 
Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.
Hayanaga muongozo...
 
Wewe ni jinsia gani na umri wako ni muhimu tuujue ili tupate pakuanzia kushauri.
 
Una miaka mingapi?

Hapo yupo tayari akupe mzigo (****) ila wewe unataka mahusiano.

Chapa pita hivi. Mahusiano ya pekee ni wewe na Mungu. Mengine mapitio.
Tafadhali amri ya sita na izingatiwe
 
Back
Top Bottom