Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,321
- 16,560
Kwanza ana umri gani huyo unayetaka kumfanya mke?Najaribu kuwa mjinga ili nione nampumbaza wapi😊
Kwanza ana umri gani huyo unayetaka kumfanya mke?Najaribu kuwa mjinga ili nione nampumbaza wapi😊
Like 20/21 ni kabinti tuKwanza ana umri gani huyo unayetaka kumfanya mke?
Hapo Sasa😊😊Dogo unamamavi,,kumbe wewe ndio umemfanyia shopping Kipenzi changu,,naomba jitahidi umkaze then uniachie penzi langu Sawa!!
Aiseeh ila huo umri....🙌Like 20/21 ni kabinti tu
Aiseeh ila huo umri....🙌janjajanja sana
🕺KULA NYAMA NYAMAZA
Lazima utakua uko Moshi wewe😆KULA NYAMA NYAMAZA
Umri wa 'sleepover' wanaziita wenyewe🤣Aiseeh ila huo umri....🙌
Kama Kuna kaukweli Fulani😔Daaah pole sana..
Huyo ana mtu wake tena ni mwanajeshi yupo kozi flani arusha nahisi..
Wee uchukuage simu yake kisha angalia whatsap text zake.
Utaniamini..😂😂😂😂😂😂
Unakua cyber alafu mambo madogo kama hayo yanakushinda mkui
jibu lipo wazi mvalishe pete ya uchumba na ukatoe posa kwa so simpleWasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada
Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.
Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .
Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.
Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .![]()
Hapo Sasa😊😊
Trust me 😂😂😂🙌🙌🙌Kama Kuna kaukweli Fulani😔
Kosa la kwanza unalofanya ni kuendelea kumtongoza demu ambae kiuhalisia alishakukubalia siku nyingii...Wasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada
Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.
Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .
Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.
Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .🙏
UwongoKosa la kwanza unalofanya ni kuendelea kumtongoza demu ambae kiuhalisia alishakukubalia siku nyingii...
Mwanamke akishakubali kutoka na wewe out na kuspend mda na wewe, huyo kashakubali kwa asilimia zaidi ya 60. Tatizo lako unataka mpaka akuambie
"SAWA NIMEKUBALI" Mzee hapo utasubiri sana.
Hapo inatakiwa ujanja kidogo sana kumla wala huhitaji kuongea nae chochote tena.