Coza Mhando
Senior Member
- Dec 14, 2010
- 194
- 7
yaan we bonge la popompo,unataka kupingana na usem huu "in alcohol there is a wisdom"?.
Sasa fanya hivi ili upate msamaha kutoka kwa muumba wako,
mwite mkeo pamoja na Hg wako pamoja, huku umepiga magoti mueleze mkeo kila kitu,muombe msamaha kwa kosa ulilofanya. Nadhan atakuelewa flesh tu,
then endelea kupiga kilaji.
Sasa fanya hivi ili upate msamaha kutoka kwa muumba wako,
mwite mkeo pamoja na Hg wako pamoja, huku umepiga magoti mueleze mkeo kila kitu,muombe msamaha kwa kosa ulilofanya. Nadhan atakuelewa flesh tu,
then endelea kupiga kilaji.