Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Alidhamiria huyu, mimi nilishawahi piga maji Vibaya na mke wangu alikuwa Safarini zaidi ya mwezi mmoja nilikuwa na ukame wa kutisha, mbaya zaidi mdada wetu wa nyumbani alikuwa mzuri na hajatulia akawa ananiwekea mazingira nimwingilie mbona nilimuasa na kumgombeza asinifanyie hivyo kaka yake kesho yake alitoroka kwenda kwao maana hakuona mahala pa kuiweka sura yakeMsisingizie pombe ni umalaya wenu ebooo mbona wengine tunakunywa na hatufanyi upuuzi kama huuu