BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,837
Asubuhi nilisahau funguo, wife akatoka then kachelewa kurudi. Chakula alikuwa ameshapika
Sasa hasira za kuniweka nje ya nyumba kama saa zima nimeletewa chakula nimezila, nilijua wife atanibembeleza kumbe akasema poa. Kachukua chakula kaweka kwenye fridge
Mchana sikula, nikasema nitakula home usiku. Hapa njaa inauma balaa lakini sina cha kufanya
Ila huyu mwanamke hata kunibembeleza kidogo jamani, Usiombe yakukute
UPDATE
Nimeamka na njaa yangu nimeenda kunywa supu, kwa alichonitendea jana siji kuzila tena chakula ila siku zake za kupigwa vibao zinahesabika. Siku akijichanganya tu lazima nimshikishe adabu
Sasa hasira za kuniweka nje ya nyumba kama saa zima nimeletewa chakula nimezila, nilijua wife atanibembeleza kumbe akasema poa. Kachukua chakula kaweka kwenye fridge
Mchana sikula, nikasema nitakula home usiku. Hapa njaa inauma balaa lakini sina cha kufanya
Ila huyu mwanamke hata kunibembeleza kidogo jamani, Usiombe yakukute
UPDATE
Nimeamka na njaa yangu nimeenda kunywa supu, kwa alichonitendea jana siji kuzila tena chakula ila siku zake za kupigwa vibao zinahesabika. Siku akijichanganya tu lazima nimshikishe adabu

, jitie utani wa ghafla na ucheshi mwiiiingi huku unapakua msosi