"Nimezawadiwa Bikra Mwaka Mpya 2013"

"Nimezawadiwa Bikra Mwaka Mpya 2013"

WABHEJASANA

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
4,225
Reaction score
869
HESHIMA kwenu nyoote Wanajamvi!!!!

Jana na leo nimeshuhudia Mada kali sana humu jamvini watu watu wakijiuliza kama kweli wamefanikiwa kutoa Bikra,kiukweli elimu waliyoapatiwa na ushauri ulikuwa ni mzuri sana,na mimi ni miongoni mwa waliochangia na kuwapatia ushauri watu hao.

Hapa nilipo tayari nina Tiketi ya Ndege Mkono kesho nakwenda Jijini Mwanza baada ya kualikwa na rafiki yangu mmoja wa kike ambaye tumekuwa marafiki tangu akiwa darasa la Tano huko wilayani Sengerema mkoani Mwanza na amefanikiwa kumaliza Kidato cha nne mwaka huu ambao tunatarajia umalizike kesho.

Kiukweli huyu Dada ni rafiki yangu Mkubwa sana na huwezi amini kwamba nimeshalala naye kwenye kitanda kimoja shuka moja kwa mujibu wa kumbukumbu zangu mara 18 tangu wakati huo,ni mtu ambaye nimesafiri naye mara nyingi kwenye safari zangu na hasa wakati wa likizo akiwa sekondari lakini hatukuwahi kufanya tendo la Ndoa kwa sababu alikataa na kunishauri kwamba kama kweli nampenda basi nisubiri amalize walau kidato cha nne hapo tunaweza kufanya kitu.

Mwanzoni nilipata shida sana lakini ilinilazimu kuzoea bada ya yeye kunizoesha na mwisho tukabaki hivyo hadi leo hii,sasa hivi karibuni amenialika kwamba niende kwao Sengerema ili akanipe zawadi ya mwaka 2013 kwa kuitoa hiyo Bikra,nilifurahi sana ingawa tayari tumezoeana naye sana lakini katika hali ya kimapenzi siyo kama kaka na dada,nimeona niliseme hili kwa sababu jana kuna mtu mmoja aliniuliza kwamba Bikra zinapatikana wapi,sikumjibu lakini nataka nimwambie kwamba kiukweli sijui zinapatikana wapi ila mimi hii niligongana nayo tu,lakini ni mpaka uzisotee sana huwa hazipatikani kirahisi kihivyo na zinahitaji uvumilivu.

Hebu Imagine huyu mtu ambaye tumefahamiana tangu akiwa darasa la Tano wakati huo mimi nikiwa field kwenye wilaya hiyo kwa sababu mama yake ni miongoni mwa watu waliokuwa wananisimamia kwenye field yangu hivyo nikawa nakwenda sana kwao,ninachokishukuru kwamba hata mama yake anajua kwamba kesho nitakuwa mgeni hapo nyumbani kwake.

Ushauri wenu jamani ka sababu huyu ndiye natarajia awe mama watoto wangu kwa mujibu wa makubaliano yetu!

Ciello,gfsonwin,BADILI TABIA,na wengineo jamani naombeni ushauri kama kuna cha kuniongezea.
 
Si umuoe kwanza ndio uanze kumgonga na wewe ama unaona miyeyusho?
 
kazi njema ila umuendeleze.. kumsomesha ila la bikra subiri baada ya harusi..
 
Sasa kama utamuoa Haraka ya nini,mwache amalize hata 4m6 bhana!!
 
Si umuoe kwanza ndio uanze kumgonga na wewe ama unaona miyeyusho?

Mkuu yeye mwenyewe kapendekeza iwe hivyo sasa mimi nikikataa nadhani madhara yake unajua yatakavyokuiwa,kuna watu vipanga,madam ameamua na kusema yeye inabidi nifanye hivyo ili nisije kuta washagagadua!!!!
 
Sasa kama utamuoa Haraka ya nini,mwache amalize hata 4m6 bhana!!

4M6 lazima amalize na kama ni chuo kikuu atakwenda kwa sababu tumeshakubaliana hivyo na kwa bahati nzuri uwezo anao,na mimi ndiye nitagharamika,lakini kwa hili kasema yeye ndiyo maana mimi sitaki kuacha naweza kuacha halafu wajanja wakapitia si unajua tena wakware?!!
 
Kama mnapanga kuoana subiri ufunge ndoa kabisa..Umekula ng'ombe mzima mkia utakushindaje?

EEeeeeeeeeee!! ndugu yangu unayosema ni kweli na the way tulivyo naye naamini tungefika lakini mwenyewe kaamua na kuniita,sasa nikikata naogopa kunaweza kuzuka neno,wacha tu nikajilie na kujitengenezea mwenyewe!!!!!!
 
kazi njema ila umuendeleze.. kumsomesha ila la bikra subiri baada ya harusi..

Nimeanza kumuendeleza tangu akiwa 4m3,na tumekubaliana asome lakini sasa kaamua na kuniita mwenyewe,huoni hapo nikikata inaweza kula kwangu wakati najua kabisa kwamba kile kitu bado ndiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!
 
Utazawadiwaje bikra 2013,wakati bado hatujafika?au unatarajia kuzawadiwa bikra 2013,na kama ni hivyo unajuaje kama mbaka 2013 atakuwa bado bikra?
 
Nionavyo mimi, amwache hadi amalize elimu ya "chini" ambayo ni 1st degree....kwani si miaka mitano ijayo toka sasa?...wekeni malengo na ninajua umri unaruhusu kabisa

[QUOTE=Yegoo;5339990]Sasa kama utamuoa Haraka ya nini,mwache amalize hata 4m6 bhana!![/QUOTE]
 
Utazawadiwaje bikra 2013,wakati bado hatujafika?au unatarajia kuzawadiwa bikra 2013,na kama ni hivyo unajuaje kama mbaka 2013 atakuwa bado bikra?

Mkuu swali zuri sana:Ni hivi kama umeisoma Thread vizuri mimi nishakata tiketi ya Ndege naondoka kesho kwenda Mwanza then sengerema kwa hiyo nitakuwa huko siku ya mwaka mpya,ambapo ndipo hiyo kitu nitapewa,labda uniulize najuaje kama bado Bikira Ipo?!
 
Kagonge ngozi watt wa siku hizi hawaaminiki unaweza subiri likatokea Nyang'au likakuanzishia gonga mwenyewe halafu ukaja pigwa butwaa
 
Broda! Kamshauri nae avumilie hadi pale atakapo maliza ka degree kake ndio umtoe bikira, ila kama anataka basi bwana mpe kitu roho yake inataka
 
Nionavyo mimi, amwache hadi amalize elimu ya "chini" ambayo ni 1st degree....kwani si miaka mitano ijayo toka sasa?...wekeni malengo na ninajua umri unaruhusu kabisa

Sasa kama utamuoa Haraka ya nini,mwache amalize hata 4m6 bhana!!

Mkuu kasema yeye huoni kama nikikataa na kuacha litakuja jama lingine,na mwisho wa siku nikija kuuliza nitambiwa"Si nilikuita ukakataa kuja,wajanja wamekuwahi!!!''
 
Hongera mkuu lakini mapenzi ni kama muwa hufrahii utamu na raha pekee zingantia uvumilivu. ukivunja bakuli umetengeneza njia
nasisi wengine tukusaidie unapokuwa mbali na tutafaidi tu huko chuuoni ukizingatia kufuli wala pazia halitakuwepo sawa kaka!!!
 
Kagonge ngozi watt wa siku hizi hawaaminiki unaweza subiri likatokea Nyang'au likakuanzishia gonga mwenyewe halafu ukaja pigwa butwaa

Umenistua sana mkuu kweli kuna manyang'au ni hatri tena yana sura mbaya.
 
Back
Top Bottom