Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,239
- 36,281
😘😘😘
Usingizi wote umenipaa, niko zangu kitandani nikashika kilongalonga nimsemeshe Dadii kabla sijalala.
Nikatuma ujumbe akajibu, akawa anaendelea ku-type nikamuuliza unafanya nini? Ile nimetuma na yeye ujumbe wake unaingia, Kasie unafanya nini?
Nikajikuta natabasamu, nikamwambia bhebhe tunawaza pamoja, akaniambia umenidukua nnachowaza nikacheka cheko la huba, hapohapo furaha ikanijaa nikajawa na Mahaba pomoni usingizi ukakimbia jii.
Nikamwambia hivii...
"Mpaka kesho sijui kwanini ila, sijawahi kujuta kukufahamu. Wewe ni mwanaume wa pekee, unanipa tabasamu, furaha, nikiongea na wewe, nikikutazama naburudika this is more than love Dadii I like you. I just can't stop loving you
You are my soul mate for real."
Mwisho wa kunukuu.
Dadii, I wanaa feel your touch..
I wanna have your kiss..
Baby I love you so much much and more, mmuuuaahhh!!!
Hili liDaDii langu ni litamu, kiasi nikimuwaza hata kama nikiwa na njaa inapotea saa hiyohiyo. Sijui amenilisha nini huyu baba bin Dadii. Ila toka ndani ya sakafu yangu ya moyo anacheza anavyotaka, funguo za valvu zote 4 anazo.
Kweli nimezama kwenye huba la Dadii, na huba hili halichachi wala halichuji.
Makopa tele kwako Dadii...🥰🥰🥰🥰🥰
Bi. Kasinde.
Usingizi wote umenipaa, niko zangu kitandani nikashika kilongalonga nimsemeshe Dadii kabla sijalala.
Nikatuma ujumbe akajibu, akawa anaendelea ku-type nikamuuliza unafanya nini? Ile nimetuma na yeye ujumbe wake unaingia, Kasie unafanya nini?
Nikajikuta natabasamu, nikamwambia bhebhe tunawaza pamoja, akaniambia umenidukua nnachowaza nikacheka cheko la huba, hapohapo furaha ikanijaa nikajawa na Mahaba pomoni usingizi ukakimbia jii.
Nikamwambia hivii...
"Mpaka kesho sijui kwanini ila, sijawahi kujuta kukufahamu. Wewe ni mwanaume wa pekee, unanipa tabasamu, furaha, nikiongea na wewe, nikikutazama naburudika this is more than love Dadii I like you. I just can't stop loving you
You are my soul mate for real."
Mwisho wa kunukuu.
Dadii, I wanaa feel your touch..
I wanna have your kiss..
Baby I love you so much much and more, mmuuuaahhh!!!
Hili liDaDii langu ni litamu, kiasi nikimuwaza hata kama nikiwa na njaa inapotea saa hiyohiyo. Sijui amenilisha nini huyu baba bin Dadii. Ila toka ndani ya sakafu yangu ya moyo anacheza anavyotaka, funguo za valvu zote 4 anazo.
Kweli nimezama kwenye huba la Dadii, na huba hili halichachi wala halichuji.
Makopa tele kwako Dadii...🥰🥰🥰🥰🥰
Bi. Kasinde.