Nimezama kwa Bar Maid

Nimezama kwa Bar Maid

Shida za dunia hii wakati mwingine hupelekea watu kufanya kazi ambazo hata hupunguza heshima ya utu wao! Usimuhukumu huyo au mwingine yeyote kwa kigezo cha mazingira ! Utu na tabia yake vishike hatamu katika tafakuri yako na baadae maamuzi!
 
Hili swala ni wewe sasa, ukumbuke tu, mapenzi kabla ya ndoa na ya kuishi pamoja ni tofauti kabisa na huu urafiki wenu wa mapenzi, maisha yenu yatakuwa tofauti kabisa, na wakina mama wakiingia kwenye boma huwa wanabadilika kuliko! Na ni lazima wabadilike maana hautakuwa mji wako tena bali wenu, wewe ndiye wa kuamua, ila jiandae kwa mabadiliko makubwa maishani mwako..
 
Kwann useme umezama kwa bar maid na isiwe umepata mchumba au kazi ya bar ina kitu gani cha ajabu
Kama mwandiko wangu unasomeka vema nimeeleza sababu za kwanini nimeandika hivyo mkuu.
 
Shida za dunia hii wakati mwingine hupelekea watu kufanya kazi ambazo hata hupunguza heshima ya utu wao! Usimuhukumu huyo au mwingine yeyote kwa kigezo cha mazingira ! Utu na tabia yake vishike hatamu katika tafakuri yako na baadae maamuzi!
Ahsante sana kwa nasaha yako mkuu. Niseme tu nitatafakari zaidi.
 
Ukijisifu hakuombi hela wakati alikuchaji kwa huduma ya ngono siku ya kwanza mmekutana, inakuwa funny hivi. She could be finessing you to put a rock on that finger bruv. Anyway, kama tatizo pekee kwako ni kazi yake, then mtafutie uliyo comfortable nayo, anaweza kuwa ndiye yule uliyepangiwa.
 
Ukijisifu hakuombi hela wakati alikuchaji kwa huduma ya ngono siku ya kwanza mmekutana, inakuwa funny hivi. She could be finessing you to put a rock on that finger bruv. Anyway, kama tatizo pekee kwako ni kazi yake, then mtafutie uliyo comfortable nayo, anaweza kuwa ndiye yule uliyepangiwa.
Pale mwishoni mkuu nimeeleza kuwa mazingira niliyokutana nae pamoja na mazingira ya kazi ndio vyanipa wasiwasi mkuu. Ushauri wako nimeuelewa sana mkuu. Thanks
 
Hili swala ni wewe sasa, ukumbuke tu, mapenzi kabla ya ndoa na ya kuishi pamoja ni tofauti kabisa na huu urafiki wenu wa mapenzi, maisha yenu yatakuwa tofauti kabisa, na wakina mama wakiingia kwenye boma huwa wanabadilika kuliko! Na ni lazima wabadilike maana hautakuwa mji wako tena bali wenu, wewe ndiye wa kuamua, ila jiandae kwa mabadiliko makubwa maishani mwako..
Uko sahihi sana mkuu. Thanks
 
Back
Top Bottom