niwaellyester1
Senior Member
- Sep 7, 2010
- 123
- 19
nikifikiria hili ndio nazidi kumuonea huruma mwarabu wa watu,Huyo mumeo analijuwa hilo na ndio maana akakuletea mdogo wake uzae nae.
Najiuliza, kama mbegu zake hazina rutuba, ni vipi mkewe wa kiarabu awe na watoto sita? au wote si wake?
Duniani kuna mambo!