nimezaa na shemeji yangu

kinu

Member
Mar 9, 2011
7
0
Jamani hii ni habari ya kweli na inanisumbua moyo sana,nimeolewa na bwana mmoja wa kiarabu miaka 20 iliyopita,huyo bwana ana mke wake wa kiarabu aliyezaa naye watoto 6 ila mimi hanizalisha.Tumetibiwa kila hospitali nchini na nje ya nchi lakini hakuna mtoto.Dk Kaisi alifanya kila njia lakini wapi.Hatahivyo huyu mme wangu wala hajawahi kunipigia kelele juu ya hilo,ameonyesha love kubwa sana.Sasa miaka 10 iliyopita alimleta mdogo wake ambae alikuwa anasoma ulaya,ni kijana mzuri,msomi na anabidii sana ya kazi ,anamsaidia sana kaka yake kazi maana kaka yake ni tajiri sana tu.Basi katika maongezi naye nikamweleza shida yangu ya kutozaa na nikamwambia kuwa Dk Kaisi anasema mme wangu mbegu zake haziwezi kunibebesha mimba,
.Tukajenga mazoea naye sana,disko tunaenda wote na mengi tu tukawa tunafanya pamoja.Sasa miaka 6 iliyopita kaka yake akaenda kwa mke wake uarabuni nikabaki na shemeji ambae akawa msimamizi wa familia sasa bila ya ajizi nikamtolea uvivu nikamwambia kuwa naomba kuzaa naye,alisita sana na akaniuliza maswali mengi mno lakini hatimaye nikalala nae na nikabeba mimba na kuzaa mtoto wa kiume kaka yake hakujua maana alirudi baada ya 3 months.Ila shemaji kwenye 6 kwa 6 ni eksipati sana yaani sijawahi kuona mwanaume mtamu kama yeye.Sasa shemeji akapata kazi Marekani akaenda ila kila akirudi tunawasiliana tunaendeleua libeneke na hivi sasa nina mimba yake,kinachonisikitisha ni kwamba shemeji anapokuwa kifuani ananiita mama watoto wangu nipe raha nami nampa raha,sasa naumia roho sana kuona nazaa na shemeji yangu na namsaliti mme wangu ambaye amenifanyia mengi mazuri,je nikaungame kwa mme wangu kwa kumwambia ukweli kuwa nazaa na mdogo wake.
 
uko kwenye ndoa miaka 20 hujui unalofanya mpaka uje uulize hapa,:hand:
 
Jamani hii ni habari ya kweli na inanisumbua moyo sana,nimeolewa na bwana mmoja wa kiarabu miaka 20 iliyopita,huyo bwana ana mke wake wa kiarabu aliyezaa naye watoto 6 ila mimi hanizalisha.Tumetibiwa kila hospitali nchini na nje ya nchi lakini hakuna mtoto.Dk Kaisi alifanya kila njia lakini wapi.Hatahivyo huyu mme wangu wala hajawahi kunipigia kelele juu ya hilo,ameonyesha love kubwa sana.Sasa miaka 10 iliyopita alimleta mdogo wake ambae alikuwa anasoma ulaya,ni kijana mzuri,msomi na anabidii sana ya kazi ,anamsaidia sana kaka yake kazi maana kaka yake ni tajiri sana tu.Basi katika maongezi naye nikamweleza shida yangu ya kutozaa na nikamwambia kuwa Dk Kaisi anasema mme wangu mbegu zake haziwezi kunibebesha mimba,
.Tukajenga mazoea naye sana,disko tunaenda wote na mengi tu tukawa tunafanya pamoja.Sasa miaka 6 iliyopita kaka yake akaenda kwa mke wake uarabuni nikabaki na shemeji ambae akawa msimamizi wa familia sasa bila ya ajizi nikamtolea uvivu nikamwambia kuwa naomba kuzaa naye,alisita sana na akaniuliza maswali mengi mno lakini hatimaye nikalala nae na nikabeba mimba na kuzaa mtoto wa kiume kaka yake hakujua maana alirudi baada ya 3 months.Ila shemaji kwenye 6 kwa 6 ni eksipati sana yaani sijawahi kuona mwanaume mtamu kama yeye.Sasa shemeji akapata kazi Marekani akaenda ila kila akirudi tunawasiliana tunaendeleua libeneke na hivi sasa nina mimba yake,kinachonisikitisha ni kwamba shemeji anapokuwa kifuani ananiita mama watoto wangu nipe raha nami nampa raha,sasa naumia roho sana kuona nazaa na shemeji yangu na namsaliti mme wangu ambaye amenifanyia mengi mazuri,je nikaungame kwa mme wangu kwa kumwambia ukweli kuwa nazaa na mdogo wake.

Chagua Moja
 
Jamani hii ni habari ya kweli na inanisumbua moyo sana,nimeolewa na bwana mmoja wa kiarabu miaka 20 iliyopita,huyo bwana ana mke wake wa kiarabu aliyezaa naye watoto 6 ila mimi hanizalisha.Tumetibiwa kila hospitali nchini na nje ya nchi lakini hakuna mtoto.Dk Kaisi alifanya kila njia lakini wapi.Hatahivyo huyu mme wangu wala hajawahi kunipigia kelele juu ya hilo,ameonyesha love kubwa sana.Sasa miaka 10 iliyopita alimleta mdogo wake ambae alikuwa anasoma ulaya,ni kijana mzuri,msomi na anabidii sana ya kazi ,anamsaidia sana kaka yake kazi maana kaka yake ni tajiri sana tu.Basi katika maongezi naye nikamweleza shida yangu ya kutozaa na nikamwambia kuwa Dk Kaisi anasema mme wangu mbegu zake haziwezi kunibebesha mimba,
.Tukajenga mazoea naye sana,disko tunaenda wote na mengi tu tukawa tunafanya pamoja.Sasa miaka 6 iliyopita kaka yake akaenda kwa mke wake uarabuni nikabaki na shemeji ambae akawa msimamizi wa familia sasa bila ya ajizi nikamtolea uvivu nikamwambia kuwa naomba kuzaa naye,alisita sana na akaniuliza maswali mengi mno lakini hatimaye nikalala nae na nikabeba mimba na kuzaa mtoto wa kiume kaka yake hakujua maana alirudi baada ya 3 months.Ila shemaji kwenye 6 kwa 6 ni eksipati sana yaani sijawahi kuona mwanaume mtamu kama yeye.Sasa shemeji akapata kazi Marekani akaenda ila kila akirudi tunawasiliana tunaendeleua libeneke na hivi sasa nina mimba yake,kinachonisikitisha ni kwamba shemeji anapokuwa kifuani ananiita mama watoto wangu nipe raha nami nampa raha,sasa naumia roho sana kuona nazaa na shemeji yangu na namsaliti mme wangu ambaye amenifanyia mengi mazuri,je nikaungame kwa mme wangu kwa kumwambia ukweli kuwa nazaa na mdogo wake.

Kweli wewe mwisho. Mimi nilishasema hapa jf i will never trust a woman. Hata umpe kila kitu atakufanyia ushenzi tu. WHAT A SHAME!!
 
Kwaaazi kweli kweli!!Yani tangu unaanza miaka hiyo hukuona tatizo mpaka ubebeshwe mimba ya pili??Alafu mbona unasema akasafiri na mke wake???Wewe hajakuoa???Nwyz kama kweli umegundua unachomtendea mume wako sio haki na uko tayari kubadilika ni vizuri ukimwambia na uwe tayari kwenda na njia zako!!!Huwezi kumzalia mwanaume watoto wawili nje tena na mdogo wake alafu bado ukawa na amani moyoni....hiyo ndoa sio ndoa!!Mwondolee mwanaume wa watu mzigo!!
 
Shemeji shemejiii usiku mwazima taaa...
Shemeji kula kaka hayupo akirudi sitamwambia!!!

Mwaya we chuna tu mbona midume inazaa nje ya ndoa inatuficha wake zao :decision::decision::decision:
 
Shemeji shemejiii usiku mwazima taaa...
Shemeji kula kaka hayupo akirudi sitamwambia!!!

Mwaya we chuna tu mbona midume inazaa nje ya ndoa inatuficha wake zao :decision::decision::decision:

Human rights ee?
 
Sijui hii hadithi ya kweli au ya kutunga.
Wote inabidi mkatubu kwa huyo bwana kwa mlichokifanya na ujue maisha yako sasa maana watoto uliowataka ushapata.
Pole sana.
 
mwanamke nyoka ndo huyuu sasa the so called mme wako akisia hayo uliyoyafanya na mdogo wake atakufa kwa stroke au presha.
 
Dah!Kitendo ulichokifanya hakikubaliki ktk jamii za kiafrika,au hao waarabu walipanga wote wakudinye ndio maana jamaa akamuachia nyumba mdogo wake ili mchakachuanè vzuri, wakati unatoa 2nda wala hukuomba ushauri leo kijiti kimekukatikia mara 2 ndio uje kuomba ushauri?
 
Huyo mumeo analijuwa hilo na ndio maana akakuletea mdogo wake uzae nae.

Najiuliza, kama mbegu zake hazina rutuba, ni vipi mkewe wa kiarabu awe na watoto sita? au wote si wake?

Duniani kuna mambo!
 
Huyo mumeo ana matatizo makubwa baada ya kuambiwa na dokta hawezi kuzalisha hajajiuliza hao watoto 6 wa mke mkubwa wametoka wapi ? huyu kazoea kuzaliwa na labda alimleta mdogo wake makusudi ili akuzalishe.
 
Sijui hii hadithi ya kweli au ya kutunga.
Wote inabidi mkatubu kwa huyo bwana kwa mlichokifanya na ujue maisha yako sasa maana watoto uliowataka ushapata.
Pole sana.
hii story itakuwa ya kweli ,kwasababu profesa kaisi kweli namjua anahusika na magonjwa ya kina mama ikiwemo infertility but ofcoursev saiv amestafu.
 
Majimshindo na uporoto mmesahau kuwa kuna watu huwa wanapata matatizo yanayopelekea ashindwe kuzaa.
Inawezekana hao watoto aliwapata kabla tatizo halijamkumba.
 
Back
Top Bottom