2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 508
- 1,426
Habari.
Siku naanza balehe nadhani hiki ndo kipindi ambacho binadamu anayaona na kuyaenjoi mapenzi kuliko kipindi chochote kile duniani.
Ila kwa umri tulionao hakuna binadamu aliyepita umri wa kubalehe na akayaona mapenzi matamu sana kama enzi nzetu zile.
Leo hii tunafanya mapenzi kujiridhisha na kupeleka siku mbele ila mapenzi ya kubalehe yalikuwa yako real sana.
Siku naanza balehe nadhani hiki ndo kipindi ambacho binadamu anayaona na kuyaenjoi mapenzi kuliko kipindi chochote kile duniani.
Ila kwa umri tulionao hakuna binadamu aliyepita umri wa kubalehe na akayaona mapenzi matamu sana kama enzi nzetu zile.
Leo hii tunafanya mapenzi kujiridhisha na kupeleka siku mbele ila mapenzi ya kubalehe yalikuwa yako real sana.