Shehe mbona hii kazi mkuu unataka kutupa,umeshaambiwa bonyeza we kazi yako ni kubonyeza mengine utajuwa ukishapabonyeza,ok angalia hii
kumjibu mtu bonyeza hapo nilipozungushia kijiduara kisha itakuja kama hii picha ya pili utaandika unachotaka kumjibu hapo nilipoandika kawaida then bonyeza juu pale nilipopazungushia kiduara picha ya tatu ili kupost
View attachment 931422View attachment 931424View attachment 931431
Note:Hii ni kama unatumia app ya JF japo nina uhakika ndiyo unayotumia kama unatumia browser sema usaidiwe tena.