Nimewekeza kwenye mitiki inalipa, karibu tuwekeze

Ila kwa msaada naweza kufanya kwa mda mwingine maana had sasa bado miti yangu haijafikia umri wa kuvuna ila inanizalishia,..
 
Habari wanajukwaa.
Katika miaka ya hivi karibuni nilianza kupanda miti ya mitiki (Grandit teaks) kwa fikra ya kuja kuuza mbao pekee, lakin kadri muda unavyokwenda nimejiona mwenye bahati baada ya kugundua fursa nyingi zinazopatikana kwenye kilimo cha mitiki/miti

Msitu wa mitiki nilionao pamoja na miti ya aina nyingne umenipa nafasi ya kutundika mizinga ya nyuki shamba lote.
Lakini pia sikuishia hapo nikaona kuna tofauti kati ya kutundika mizinga nyuki waje na kufuga nyuki.
Mimi niliamua kufuga nyuki kwa kuanzisha kilimo cha alizeti pembezoni mwa shamba la miti.

Pia nimechimba bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji lakini pia nyuki wapate maji..

Katika kipindi hiki ambacho ninasubiri mitiki ikue zaidi, imekua inaniingizia pesa nyingi kupitia mauzo ya asali na mafuta ya alizeti ambayo ninakamua mwenyewe..

Pia naendelea kuona fursa nyingi zikizidi kujitokeza kupitia kilimo hiki cha mitiki..

Ushauri
Kama unafikiri kuwekeza basi kilimo cha miti ni sehemu sahihi

Unaweza kunitafuta kwa ushauri, kubadilishana mawazo pia.
Kwa wahitaji miche ya mitiki ninasambaza kwa mikoa ya dar, pwani na morogoro kwa bei ya sh. 300@ mche, (pamoja na usafiri).

Call/text; 0766006128/0655715184
Watsap only 0683433440
Mkuu Mimi nina shida na mbegu hata kama kilo kumi na kuendelea
 
Mimi naomba kujua soko la mitiki na watu wanaonunua miti hiyo.Baba Mkwe wangu aliipanda siku nyingi na ana msitu wa ekari 20 za mitiki na ina over 15 yrs.Sasa anataka aiuze shida ni wanunuzi. Ana mikopo na karibia afungwe lkn miti yake imeshindwa kumsaidia.Kwa kifupi ameshindwa kumpata mnunuzi wa uhakika.Tafadhali soko liko wapi?
 
Mimi naomba kujua soko la mitiki na watu wanaonunua miti hiyo.Baba Mkwe wangu aliipanda siku nyingi na ana msitu wa ekari 20 za mitiki na ina over 15 yrs.Sasa anataka aiuze shida ni wanunuzi. Ana mikopo na karibia afungwe lkn miti yake imeshindwa kumsaidia.Kwa kifupi ameshindwa kumpata mnunuzi wa uhakika.Tafadhali soko liko wapi?
Unapatikana wapi mkuu.? Na shamba lipo wapi.? Piga namba zangu hapo juu, au nitumie text
 
Mimi naomba kujua soko la mitiki na watu wanaonunua miti hiyo.Baba Mkwe wangu aliipanda siku nyingi na ana msitu wa ekari 20 za mitiki na ina over 15 yrs.Sasa anataka aiuze shida ni wanunuzi. Ana mikopo na karibia afungwe lkn miti yake imeshindwa kumsaidia.Kwa kifupi ameshindwa kumpata mnunuzi wa uhakika.Tafadhali soko liko wapi?
Nitext. Mitiki inahitajika sana.
 
Mimi naomba kujua soko la mitiki na watu wanaonunua miti hiyo.Baba Mkwe wangu aliipanda siku nyingi na ana msitu wa ekari 20 za mitiki na ina over 15 yrs.Sasa anataka aiuze shida ni wanunuzi. Ana mikopo na karibia afungwe lkn miti yake imeshindwa kumsaidia.Kwa kifupi ameshindwa kumpata mnunuzi wa uhakika.Tafadhali soko liko wapi?
Tuwacliane 0718093225
 
Habari wanajukwaa.
Katika miaka ya hivi karibuni nilianza kupanda miti ya mitiki (Grandit teaks) kwa fikra ya kuja kuuza mbao pekee, lakin kadri muda unavyokwenda nimejiona mwenye bahati baada ya kugundua fursa nyingi zinazopatikana kwenye kilimo cha mitiki/miti

Msitu wa mitiki nilionao pamoja na miti ya aina nyingne umenipa nafasi ya kutundika mizinga ya nyuki shamba lote.
Lakini pia sikuishia hapo nikaona kuna tofauti kati ya kutundika mizinga nyuki waje na kufuga nyuki.
Mimi niliamua kufuga nyuki kwa kuanzisha kilimo cha alizeti pembezoni mwa shamba la miti.

Pia nimechimba bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji lakini pia nyuki wapate maji..

Katika kipindi hiki ambacho ninasubiri mitiki ikue zaidi, imekua inaniingizia pesa nyingi kupitia mauzo ya asali na mafuta ya alizeti ambayo ninakamua mwenyewe..

Pia naendelea kuona fursa nyingi zikizidi kujitokeza kupitia kilimo hiki cha mitiki..

Ushauri
Kama unafikiri kuwekeza basi kilimo cha miti ni sehemu sahihi

Unaweza kunitafuta kwa ushauri, kubadilishana mawazo pia.
Kwa wahitaji miche ya mitiki ninasambaza kwa mikoa ya dar, pwani na morogoro kwa bei ya sh. 300@ mche, (pamoja na usafiri).

Call/text; 0766006128/0655715184
Watsap only 0683433440
That's very good bro. Vipi dodoma unaweza kufikishia miche hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni avatar tu my dear... Sura yangu ngumu kama mpini wa jembe lenyewe
Siku kila mmoja atakapoweka avatar ya picha yake ya kweli kutakuwa na vioja, manake wengi humu mitandaoni "wanakula ugali kwa picha ya samaki"
 
Habari wanajukwaa.
Katika miaka ya hivi karibuni nilianza kupanda miti ya mitiki (Grandit teaks) kwa fikra ya kuja kuuza mbao pekee, lakin kadri muda unavyokwenda nimejiona mwenye bahati baada ya kugundua fursa nyingi zinazopatikana kwenye kilimo cha mitiki/miti

Msitu wa mitiki nilionao pamoja na miti ya aina nyingne umenipa nafasi ya kutundika mizinga ya nyuki shamba lote.
Lakini pia sikuishia hapo nikaona kuna tofauti kati ya kutundika mizinga nyuki waje na kufuga nyuki.
Mimi niliamua kufuga nyuki kwa kuanzisha kilimo cha alizeti pembezoni mwa shamba la miti.

Pia nimechimba bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji lakini pia nyuki wapate maji..

Katika kipindi hiki ambacho ninasubiri mitiki ikue zaidi, imekua inaniingizia pesa nyingi kupitia mauzo ya asali na mafuta ya alizeti ambayo ninakamua mwenyewe..

Pia naendelea kuona fursa nyingi zikizidi kujitokeza kupitia kilimo hiki cha mitiki..

Ushauri
Kama unafikiri kuwekeza basi kilimo cha miti ni sehemu sahihi

Unaweza kunitafuta kwa ushauri, kubadilishana mawazo pia.
Kwa wahitaji miche ya mitiki ninasambaza kwa mikoa ya dar, pwani na morogoro kwa bei ya sh. 300@ mche, (pamoja na usafiri).

Call/text; 0766006128/0655715184
Watsap only 0683433440
Ushauri mzuri sana, kizuri ukipatacho umependa na wanaJF wakipate, wewe siyo wa kukuacha.
 
Back
Top Bottom