de pedezyee
Senior Member
- Jun 21, 2015
- 104
- 108
- Thread starter
- #41
Ila kwa msaada naweza kufanya kwa mda mwingine maana had sasa bado miti yangu haijafikia umri wa kuvuna ila inanizalishia,..
Maweeeee!!Hiyo ni avatar tu my dear... Sura yangu ngumu kama mpini wa jembe lenyewe
Mkuu Mimi nina shida na mbegu hata kama kilo kumi na kuendeleaHabari wanajukwaa.
Katika miaka ya hivi karibuni nilianza kupanda miti ya mitiki (Grandit teaks) kwa fikra ya kuja kuuza mbao pekee, lakin kadri muda unavyokwenda nimejiona mwenye bahati baada ya kugundua fursa nyingi zinazopatikana kwenye kilimo cha mitiki/miti
Msitu wa mitiki nilionao pamoja na miti ya aina nyingne umenipa nafasi ya kutundika mizinga ya nyuki shamba lote.
Lakini pia sikuishia hapo nikaona kuna tofauti kati ya kutundika mizinga nyuki waje na kufuga nyuki.
Mimi niliamua kufuga nyuki kwa kuanzisha kilimo cha alizeti pembezoni mwa shamba la miti.
Pia nimechimba bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji lakini pia nyuki wapate maji..
Katika kipindi hiki ambacho ninasubiri mitiki ikue zaidi, imekua inaniingizia pesa nyingi kupitia mauzo ya asali na mafuta ya alizeti ambayo ninakamua mwenyewe..
Pia naendelea kuona fursa nyingi zikizidi kujitokeza kupitia kilimo hiki cha mitiki..
Ushauri
Kama unafikiri kuwekeza basi kilimo cha miti ni sehemu sahihi
Unaweza kunitafuta kwa ushauri, kubadilishana mawazo pia.
Kwa wahitaji miche ya mitiki ninasambaza kwa mikoa ya dar, pwani na morogoro kwa bei ya sh. 300@ mche, (pamoja na usafiri).
Call/text; 0766006128/0655715184
Watsap only 0683433440
Mbegu zinapatikana, unahitaji kiasi gani, na upo wapiMkuu Mimi nina shida na mbegu hata kama kilo kumi na kuendelea
Hapana ni hiyo hiyo mia tatu (300). Tu
Heka moja ki taalam naweza kupanda miche mingapiHapana ni hiyo hiyo mia tatu (300). Tu
Unapatikana wapi mkuu.? Na shamba lipo wapi.? Piga namba zangu hapo juu, au nitumie textMimi naomba kujua soko la mitiki na watu wanaonunua miti hiyo.Baba Mkwe wangu aliipanda siku nyingi na ana msitu wa ekari 20 za mitiki na ina over 15 yrs.Sasa anataka aiuze shida ni wanunuzi. Ana mikopo na karibia afungwe lkn miti yake imeshindwa kumsaidia.Kwa kifupi ameshindwa kumpata mnunuzi wa uhakika.Tafadhali soko liko wapi?
Ekari moja unapanda miche 529.Heka moja ki taalam naweza kupanda miche mingapi
Ok. Ntakutafuta.asante sanaEkari moja unapanda miche 529.
Nitext. Mitiki inahitajika sana.Mimi naomba kujua soko la mitiki na watu wanaonunua miti hiyo.Baba Mkwe wangu aliipanda siku nyingi na ana msitu wa ekari 20 za mitiki na ina over 15 yrs.Sasa anataka aiuze shida ni wanunuzi. Ana mikopo na karibia afungwe lkn miti yake imeshindwa kumsaidia.Kwa kifupi ameshindwa kumpata mnunuzi wa uhakika.Tafadhali soko liko wapi?
Tuwacliane 0718093225Mimi naomba kujua soko la mitiki na watu wanaonunua miti hiyo.Baba Mkwe wangu aliipanda siku nyingi na ana msitu wa ekari 20 za mitiki na ina over 15 yrs.Sasa anataka aiuze shida ni wanunuzi. Ana mikopo na karibia afungwe lkn miti yake imeshindwa kumsaidia.Kwa kifupi ameshindwa kumpata mnunuzi wa uhakika.Tafadhali soko liko wapi?
Pitia hapa Nina toa ushauri kwenye kilimo cha alizeti, mbaazi, maharage na mahindiNifundishe namna ya kukamua alizeti mwenyewe bila mashine kiongozi.
That's very good bro. Vipi dodoma unaweza kufikishia miche hiyoHabari wanajukwaa.
Katika miaka ya hivi karibuni nilianza kupanda miti ya mitiki (Grandit teaks) kwa fikra ya kuja kuuza mbao pekee, lakin kadri muda unavyokwenda nimejiona mwenye bahati baada ya kugundua fursa nyingi zinazopatikana kwenye kilimo cha mitiki/miti
Msitu wa mitiki nilionao pamoja na miti ya aina nyingne umenipa nafasi ya kutundika mizinga ya nyuki shamba lote.
Lakini pia sikuishia hapo nikaona kuna tofauti kati ya kutundika mizinga nyuki waje na kufuga nyuki.
Mimi niliamua kufuga nyuki kwa kuanzisha kilimo cha alizeti pembezoni mwa shamba la miti.
Pia nimechimba bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji lakini pia nyuki wapate maji..
Katika kipindi hiki ambacho ninasubiri mitiki ikue zaidi, imekua inaniingizia pesa nyingi kupitia mauzo ya asali na mafuta ya alizeti ambayo ninakamua mwenyewe..
Pia naendelea kuona fursa nyingi zikizidi kujitokeza kupitia kilimo hiki cha mitiki..
Ushauri
Kama unafikiri kuwekeza basi kilimo cha miti ni sehemu sahihi
Unaweza kunitafuta kwa ushauri, kubadilishana mawazo pia.
Kwa wahitaji miche ya mitiki ninasambaza kwa mikoa ya dar, pwani na morogoro kwa bei ya sh. 300@ mche, (pamoja na usafiri).
Call/text; 0766006128/0655715184
Watsap only 0683433440
Mkuu wewe ni wale wa milion reasons to failWewe sema tu unauza miche ya mitiki, story nyiiingi!
Inafika pia
Siku kila mmoja atakapoweka avatar ya picha yake ya kweli kutakuwa na vioja, manake wengi humu mitandaoni "wanakula ugali kwa picha ya samaki"Hiyo ni avatar tu my dear... Sura yangu ngumu kama mpini wa jembe lenyewe
Ushauri mzuri sana, kizuri ukipatacho umependa na wanaJF wakipate, wewe siyo wa kukuacha.Habari wanajukwaa.
Katika miaka ya hivi karibuni nilianza kupanda miti ya mitiki (Grandit teaks) kwa fikra ya kuja kuuza mbao pekee, lakin kadri muda unavyokwenda nimejiona mwenye bahati baada ya kugundua fursa nyingi zinazopatikana kwenye kilimo cha mitiki/miti
Msitu wa mitiki nilionao pamoja na miti ya aina nyingne umenipa nafasi ya kutundika mizinga ya nyuki shamba lote.
Lakini pia sikuishia hapo nikaona kuna tofauti kati ya kutundika mizinga nyuki waje na kufuga nyuki.
Mimi niliamua kufuga nyuki kwa kuanzisha kilimo cha alizeti pembezoni mwa shamba la miti.
Pia nimechimba bwawa kubwa kwa ajili ya umwagiliaji lakini pia nyuki wapate maji..
Katika kipindi hiki ambacho ninasubiri mitiki ikue zaidi, imekua inaniingizia pesa nyingi kupitia mauzo ya asali na mafuta ya alizeti ambayo ninakamua mwenyewe..
Pia naendelea kuona fursa nyingi zikizidi kujitokeza kupitia kilimo hiki cha mitiki..
Ushauri
Kama unafikiri kuwekeza basi kilimo cha miti ni sehemu sahihi
Unaweza kunitafuta kwa ushauri, kubadilishana mawazo pia.
Kwa wahitaji miche ya mitiki ninasambaza kwa mikoa ya dar, pwani na morogoro kwa bei ya sh. 300@ mche, (pamoja na usafiri).
Call/text; 0766006128/0655715184
Watsap only 0683433440