Catherine
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,261
- 758
Yaani wewe tena jamani lol.....nimekumiss mpaka nataka kulia ujue....eti mbona twapishana hivyo we Catherine????...nikiingia mlango huu wewe watokea ule lol....sio vizuri ujue eeh!
mi pia nashangaa bidada inakuwaje, halafu mtu mzima hatakiwi kulia utanitisha mgeni. Habari za uzima.
Last edited by a moderator: