nina mimba ya triplets, mwambie kadogoo very soon atapata wa kucheza naye, Yummy naye kanidokeza jana ana twins, huyu babu huyu kha! ni noumer!Ila sheria za jf si zinakataza mabusu ya hadharani?????.....hujambo mama wa ubatizo!.....Kadogoo anakusalimia!
Heheheeeeeee
Hujambo?Ndio hivyo sasa......mwambie babu alie tuu
nina mimba ya triplets, mwambie kadogoo very soon atapata wa kucheza naye, Yummy naye kanidokeza jana ana twins, huyu babu huyu kha! ni noumer!
Ndio hivyo sasa......mwambie babu alie tuu
cacico hapa DNA inahusika kwa sana maana mi mwenyewe muhusika simjui sshhhhhhhhh usiseme