Nimewachoka UKAWA, wanasumbua jamii

Nimewachoka UKAWA, wanasumbua jamii

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,028
Reaction score
52,505
Mara bunge live, mara UKUTA kelele tupu hawana jipya, bungeni wamepelekwa tu michepuko, watuache watanzania na Magufuli wetu. Mh. Lowassa bora ujiuzulu siasa mbona unajichosha na kujishushia heshima yako mzee wewe na Sumaye? Mlishawai kuwa hadi mawaziri wakuu mlisahau nini kwenye serikali wakati UKUTA hamjui? Mnataka UKUTA gani tena? Mtuache mtuache watanzania na nchi yetu kwanza tunawadai sana sitaki kusema mengi
 
Mara bunge live, mara UKUTA kelele tupu hawana jipya, bungeni wamepelekwa tu michepuko, watuache watanzania na Magufuli wetu. Mh. Lowassa bora ujiuzulu siasa mbona unajichosha na kujishushia heshima yako mzee wewe na Sumaye? Mlishawai kuwa hadi mawaziri wakuu mlisahau nini kwenye serikali wakati UKUTA hamjui? Mnataka UKUTA gani tena? Mtuache mtuache watanzania na nchi yetu kwanza tunawadai sana sitaki kusema mengi
Hunshindi mimi. Yaani ni wakwamisha maendeleo! Sijui hata memba wake hawajui kuwa wanaofaidika ni hao viongozi tu. Wanataka kuzunguka nchi nzima kutafuta posho. By the way hivi Ile kesi ya Mwandishi Mwangosi wanachama wanagpi wa CHADEMA walienda kusikiliza hatama?!?!?! Hivi wananchi hawajifunzi tu! Wanatumiwa kwa faida ya wachache nao wanakubali!
 
Usipate shida, hakuna mwananchi atakayekubali kufanya huo upuuzi wa kushikishwa UKUTA.

Ni FUTUHIIII za Dj Slay F tu
Hahahaha ama kweli dj. Ndiyo maana wasumbufu wamezoea makelele ya disco na mavurugu. .ustaarabu..hekima na busara ni zero kabisa!
 
1469736438160.jpg
 
  • Thanks
Reactions: J C
Ukuta utawanyima sana usingizi mpaka kufikia tarehe husika.
 
Nimewachoka ccm Mara sukar Mara Dodoma Mara ndege Mara tren Mara viwanda Mara majip sijui mahewa af mwisho wa siku tupo palepale
 
Kwani umelazimishwa kwenda kwenye mkutano wao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom