Mkuu ndo hivyo, swala la unyumba najali bt tabia ni muhimu, hii itanisaidia kuwa na uhakika wa maisha marefu, familia yenye heshima, furaha kwenye ndoa, uvumilivu na kutiana moyo. Sasa akifake itakuaje?
Mkuu nimekusouma vizuri tu!
...
Wahenga walisema hauwezi kupanda miogo ukavuna mahindi!!!
Hii inamaana gani kwako?
Ukikosea kuchagua mchumba, itakula kwako na utapata yale usiyoyapenda!
...
Sasa ufanyeje?
Bila shaka uchague vizuri!
...
Utachaguaje vizuri?
1: Ujitambue wewe mwenyewe ni mtu gani!!!
Hapa kunacategories chache za watu, angalia mwenyewe uko wapi kwa kila moja:
a) direct & indirect peaople!
b) rigid & flexible!
c) unatumia moyo au akili kwenye kujudge vitu!
.
Lengo la kujitambua ni kukurahisishia ni ke wa aina gani ambao mko compatible!
.
For sure tofauti hizo za watu ndio pale unapojiuliza "hivi mbona flani ni mtu mzuri tu, but kwa nini hadumu ktk mahusiano yake? Kwanini anaachika tu?" na maswali mengine kama hayo!
.
For kizuri cha kwako sio kizuri kwangu mimi, however sometimes inaweza ikawa ni kizuri hata kwangu mimi!
...
Sijui umenielewa hapa?
(hiyo ni hatua 1 bado mbili!)