King Mculture
Member
- Aug 31, 2013
- 98
- 15
- Thread starter
- #21
Tanzania bila uf......... Inawezekana tuanze na hilii la Udom
experience , huwa hairudi(not officially) ila wasifanye kula pesa hiyo, si harari kwao. Kuuliza utawala ni sawa na kumpigia kelele chura. Wanajua jukumu lao ni mkataba tuliwekeana so wanavunja makusudi. Mwisho asante kunirekebisha