King Mculture
Member
- Aug 31, 2013
- 98
- 15
Ndugu wadau tusaidiane kwa hili, Ni mda sasa tangu sherehe za mahafari pale UDOM zimalizike, tulilipia Tsh. 55,000/= kwaajiri ya vazi la sherehe(JOHO) ,kwamkataba kwamba ukirudisha vazi hilo utarudishiwa kiasi cha pesa Tsh 20,000/=, sasa turirudisha na kuahidiwa kuingiziwa pesa hizo kwenye akaunti zetu, sasa naona kamuda kanazidi kuwa kakubwa . Kulikoni?? Nawasilisha